natra
Member
- Sep 27, 2017
- 12
- 4
Habari zenu wadau wenzangu...kwa wale wazoefu na wanaojuwa naomba kujuzwa juu ya mtaji kias gani cha chini mtu aweze kufungua super market au hard ware..inahitajika shiling ngap?
.je mtaji mkubwa aandae kiasi gani ukitaka kufungua hard ware au supermarket....asannteni
.je mtaji mkubwa aandae kiasi gani ukitaka kufungua hard ware au supermarket....asannteni