baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,456
- 2,179
Ndugu wana Jf,
Kwa Mtu asiye mtaalamu atatambuaje mbao zilizo na dawa na zisizo na dawa? Na je bei za mbao kwa sasa ulipo ni kiasi gani?
Mfano
2*2
2*3
2*4
Katika kipindi hiki cha mfumuko wa bei.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kwa Mtu asiye mtaalamu atatambuaje mbao zilizo na dawa na zisizo na dawa? Na je bei za mbao kwa sasa ulipo ni kiasi gani?
Mfano
2*2
2*3
2*4
Katika kipindi hiki cha mfumuko wa bei.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app