Englishman
New Member
- Jul 13, 2018
- 2
- 2
Habari wadau,
Naomba msaada wa gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba 2(self), sitting room & kitchen.
maeneo ya Mwanza Busweru.
Naomba msaada wa gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba 2(self), sitting room & kitchen.
maeneo ya Mwanza Busweru.
Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:👇
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.
- 1 Master Bedroom
- 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
- Sitting Room
- Open Kitchen + Store
- Dinning
- Public Bathroom + Toilet
🙏 Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.
NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.
🙏 NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.