Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii dunia ina wanafiki wengi, Huyu Sheikh Mwaipopo mchumia tumbo kama wengine, hivi mtu unawezaje kupigwa risasi mbili bahati mbaya, kwamba asisema amedhulumiwa uhai makusudi na mamlaka, naye...
4 Reactions
3 Replies
280 Views
Wakuu, ni kweli kuwa ile miili ni ya ndugu zetu waliuawa na kwenda kutupwa kwenye sakafu ya mochwari ya Mwananyamala. Kama hukupata ndugu au kama una ndugu ambae hujui kama ni mzima au...
29 Reactions
67 Replies
2K Views
MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU. NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI. NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na...
5 Reactions
12 Replies
386 Views
- Asema Msimamo wa BAKWATA si wa waislamu wote - Pamoja na mambo mengine, Sheikh Ponda ameshangazwa na Rais kuipongeza Tume ya Uchaguzi kwa uchaguzi ulioonekana wazi haukuwa huru wala wa haki. -...
11 Reactions
23 Replies
871 Views
Unajua kuna watu duniani naweza kuwafananisha na kiungo kinachopendwa sana kwenye chakula kitamu japo kina mateso na kukuacha na vidonda vya tumbo mda mwengine ni pilipili. Utawala wa Magufuli...
22 Reactions
51 Replies
1K Views
je, waziri mkuu haramu anajikomba kijifanya anatembelea hospital kwa kushtukiza ili kukwepa ghasia za wananchi. Mimi nafikiri huu ndio mwisho wake hawezi kutembelea wananchi uso kwa uso nchi...
2 Reactions
7 Replies
220 Views
Wakuu, habari za Jumapili! Tumepata video na picha zinazohusishwa na akaunti ya TikTok, ambazo zinaashiria kwa asilimia kubwa kuwa mtu aliyehusika na mauaji. Katika picha tatu zilizopatikana...
3 Reactions
16 Replies
763 Views
Kuanzishwa kwa Wizara mpya ya Vijana kunalenga kuimarisha mchango wa vijana katika maendeleo ya Taifa kupitia uwezeshaji, ajira, afya, teknolojia na ushiriki katika uongozi. Hapa chini ni muundo...
1 Reactions
26 Replies
713 Views
Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC)jana kupitia tamko LAO wameamua kuja na mashinikizo badala ya maridhiano,visasi badala ya kuponya, uchochezi badala ya amani. Sijashangaa sana kwani...
1 Reactions
11 Replies
378 Views
Haya mambo ya kusema "Waliandama kwa mkumbo" wala hayana mantiki yoyote kwa sasa. Kwa sababu wewe kama Amiri Jeshi Mkuu ulipaswa kudili na hao "Waleta Mkumbo" kwa wananchi wako kabla hayajatokea...
0 Reactions
1 Replies
125 Views
Msikilize Mbunge wa Kilosa Morogoro, Profesa Palamagamba Kabudi amesema hotuba aliyotoa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Bunge la 13 imewapa Watanzania mwanga mpya na kuongeza imani...
2 Reactions
30 Replies
478 Views
Nimemsikia Mwigulu alipopewa nafasi ya kutoa salamu zake kwa waumini alipohudhuria ibada kwenye kanisa lake la KKKT. Kwenye ujumve wake, amewaomva waumini wamwombe Mungu aliletee amani Taifa. Hii...
3 Reactions
8 Replies
318 Views
Kwanza niwapongeze watanzania majasiri waliofichua siri zilizofichwa ili kumlinda Samia na genge lake. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu ataona haya mambo halafu aendelee kumuheshimu Samia...
19 Reactions
47 Replies
942 Views
Kuona ile video hapana aisee imeniumiza sana na nikapiga picha wabunge walivyokuwa bungeni wanacheka na kupiga selfie aisee hapana aisee Nimeangalia video nyingi ila hii ya mortuary ya...
16 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari wakuu Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital, Wizara ya Afya...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Hapana kwa kweli, Hapana Roho yangu inaumia, nimekufa ganzi ya mtima. Kila siku video na picha zinakuja, wananchi wanashare unyama na udhalimu uliokithiri waliofanyiwa na majeshi nchini...
20 Reactions
45 Replies
1K Views
Hii ni moja ya video inayomuonesha mtu alivaa kanzu akikatiza eneo la Jeshi la Polisi bila kuingiliwa na askari yoyote. Je, unadhani hii inaweza kuwa mbinu nzuri zaidi ya kuvaa kanzu, au je, kunza...
0 Reactions
5 Replies
277 Views
Imamu Mkuu wa Msikiti wa Manyema na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa, Sheikh Hamid Masoud Jongo, amesema kuwa dhiki ya maisha haimaliziki kwa kuandamana, kuchoma sheli za watu wala kupora...
1 Reactions
15 Replies
302 Views
Kila kitu kitakufa Wazi. Jambo pekee nalowahakikishia Watanzania wenzangu !. Alichokifanya Samia na Genge lake, Hukumu yake haitaishia Kwao tu, Bali Kwa VIZAZI vyao yaan Ikijijua ni mtoto...
1 Reactions
0 Replies
172 Views
Kuhani Musa amewajia juu wale wanaobeza juhudi za Mh. Rais Samia katika kuleta maendeleo nchini. Amesema amepokea nchi katika mazingira magumu, na kwa yale aliyoyashuhudia, ifike mahali tumwogope...
1 Reactions
9 Replies
221 Views
Back
Top Bottom