Poleni na Majukumu ya leo wana JF.
Hivi karibuni ilitolewa tangazo na serikali juu ya kuhakiki ajira za watumishi wa umma na wale wa mashirika ya umma ili kubaini watumishi hewa na wale wasio na...
Wanabodi,
Hii ni thread ya swali kuhusu watu wanaoitwa watetezi wa kweli wa haki za binaadamu Tanzania, ni kina nani? (human right defenders). Haki za binaadamu ni jambo la kikatiba na kisheria...
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma kuwa, baada ya siku 4 za kikao cha dharura cha Kamati Kuu, kesho chama kupitia mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Jumatano, Julai 27...
TAARIFA YA MRADI WA MACHINGA COMPLEX
1.0 Utangulizi
Mnamo tarehe 19 Aprili, 2016 ofisi yangu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ilipokea barua ya agizo la waziri wa nchi TAMISEMI juu ya kusimamia...
Wana jamvi nimekuwa nikijiuliza kwa mda mrefu, kwa nini watalaamu wengi wanahamia kwenye siasa badala ya kuendelea na taaluma zao, na imekuwa ni uwanja wa kutafuta kipato na baadhi ya viongozi...
Katika vitendo vilivyokithiri ukiritimba na vinavyoonekana kukiuka makubaliano ya msingi ya Muungano wetu adhimu ya kuwa kila jambo linaliohusu na kugusa maslahi ya nchi zetu mbili lazima...
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu),Dr.Abdallah Possi, amesema:
Muswaada wa sheria ya Dodoma kuwa Mjii Mkuu wa Tanzania, utawasilishwa katika Mkutano wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 26 Julai, 2016 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Frannie...
Kutokea gazeti la habari leo askari wafukuza watu kazi zao za udereva kwa kosa wanaloliita "ukaidi". Wenye ufahamu wa sheria kuna haki katika jambo kama hili?
Madereva 18 wafutiwa leseni kwa...
Napenda kuwashauri CCM kumjenga Kichama na kuuanza kumteua Prof Ndalichako katika nafasi mbalimbali za Chama na hatimaye kuja kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi 2025 kama Mwenyezi Mungu...
HAKIMU Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, James Karayemaha amesema, kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), itamalizika ndani ya mwezi mmoja...
Biashara:
Nyumba nyingi Masaki, Osterbay zimepangwa na watumishi waserikali pale Serikali itakapo ondoka na watumishi nyumba zitapungua kodi na masaki itapungua thamani na ulizi utapungua...
Binafsi sijaona faida za kuhamishia makao makuu Dodoma hasa kwa sasa ambapo uchumi wetu siyo mzuri. Kama ni kuokoa gharama basi ni vema kama wangefikiria kulihamisha Bunge kutoka Dodoma kulileta...
Mawakili wasomi mkoa wa Arusha wameandamana leo kupinga wakili Shilinde kushikiliwa na Jeshi la polisi huko Loliondo na kupinga taaluma ya uwakili kudhalilishwa.
Polisi mkoani Arusha...
Kitendo cha baadhi ya wajumbe wa Mkutano mkuu wa dharura wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 'kuacha' kujadili mambo ya msingi ya Chama chao, badala yake kujikita kumshambulia aliyepata kuwa mwanachama...
Jana kwenye Taarifa ya habari ITV Saa mbili usiku iliwaonyesha wafanyabiashara wa Geita wakilalamika soko la Ngozi kushuka bei kwa kiasi kikubwa sana toka Tsh. 1,400 hadi Tsh.400.
Kushuka kwa bei...
LEO MH HECHE MBUNGE WA TARIME VIJIJINI AMEKABIDHI MIKATABA YA VIKUNDI VYA KINAMAMA NA VIJANA YENYE THAMANI TSH.212,500,000/=
Leo mh John Heche amekutana na vikundi 118 vya Kinamama na vijana...
Miongoni mwa mambo yanayosababisha CCM iendelee kupoteza ni kuwapuuza watumishi wa Umma ikiwa namengineyo. Linaonekana kama jambo dogo ila amini kuwa watumishi wamebeba mnyororo mkubwa wa...
Hivi Jk anaweza kua mvumilivu kumshinda Lowassa ambaye ametukanwa kila aina ya tusi, tena mpaka anaitwa mzogo unaotembea!
Hakyanani CCM hii laana itawatafuna mpaka mtakapoisha wote...
Naomba kuuliza, hivi kwa ambao tumeshapokea mishahara je tumeliona lile punguzo la kodi? Kama imeonekana imeonekana kwa kiasi gani au imeongezeka sawa na jinsi mishahara ingeongezwa?
Kila Mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.