Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana Jukwaa, Tafadhalini sana naomba mpokee ujumbe kutoka kwa watu wa karibu na Mwigulu Nchemba wamesema Mwigulu hahusiki kwa namna yoyote kuratibu maandamano ya makundi ya kulichafua Kanisa...
3 Reactions
26 Replies
759 Views
Tanzania hatuna Polisi tuna Jeshi la Raisi linaitwa Polisi. Tanzania tuna kitengo cha jeshi kinaitwa Polisi ambacho kazi yake kubwa sio kusaidia jamii kwenye mambo ya sheria bali kufuata maagizo...
2 Reactions
3 Replies
190 Views
Tundu Lissu anaendelea kushikiliwa gerezani si kwa sababu watawala waliomweka huko wanataka aendelee kuwa gerezani. Kubaki gerezani kwa Tundu Lissu sasa hivi kunawatesa sana watawala, laiti kama...
37 Reactions
35 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN Fact-Finding Mission on Venezuela, 2025) inaonesha kuwa maelfu ya watu wameuawa kinyume cha sheria nchini Venezuela, wengi wao wakiwa wafuasi wa vyama...
6 Reactions
16 Replies
287 Views
Kuna watu wanashangazwa na harakati za baadhi ya wana CCM kutumia wanaojiita waumini wa Dhehebu la kikatoliki, kupambana na Padri. Charles Kitima. Kilichoko nyuma ya harakati hizo si vita dhidi...
4 Reactions
4 Replies
257 Views
Wapiga kura 20,851 waliomo kwenye Daftari la Kudumu la Mpigakura wanatarajiwa kushiriki uchaguzi wa madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi, Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro...
2 Reactions
8 Replies
310 Views
Kutoka Tanzanite Street, Ununio -Bahari Beach, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ndugu na jamaa wa aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole wakiongozwa na...
5 Reactions
26 Replies
848 Views
Mwambieni achukue Majenerali wake wengi wote wapumbavu na machawa apige nao picha. Siku ya mwisho hayatamsaidia. Damu za ndugu zetu alizomwaga lazima zipate haki yake. Mwambieni hata ahonge...
8 Reactions
15 Replies
389 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la pongezi kwa jeshi letu la polisi. Wewe kama ni mmoja wa wale wenye allergy na pongezi zozote kwa awamu hii ya tano, naomba nikushauri, uishie hapa ili tusiharibiane...
28 Reactions
178 Replies
19K Views
Hii tabia imekithiri inatutesa sana wazazi maana unakuta mtoto ni STD 4 au STD 7 shule wanajipangia utaratibu wa kuwafundisha mpaka JUMAMOSI hii inatutesa sana wazazi maana heka heka utafikiti na...
13 Reactions
47 Replies
789 Views
Mmoja wa waumini wanaokadiriwa kufikia 100 waliokwenda kuwashitaki Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Juda Thaddeus Ruwa’ichi, O.F.M. Cap., pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu...
22 Reactions
79 Replies
2K Views
Hivi karibuni, mchambuzi wa masuala ya kibiashara na mikakati ya uwekezaji Vusi Thembekwayo ametoa uchambuzi mzito kuhusu hali ya Tanzania baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025. Vusi, ambaye amekuwa...
3 Reactions
3 Replies
279 Views
Taarifa zinazosambaa kama moto wa nyikani zinaeleza kwamba Majina ya Wakatoliki feki yameanza kuvuja., Yumo Kidawa wa Mwananyala Komakoma akiwa kavalia kijora cha njano (kumbuka kwamba Wakatoliki...
26 Reactions
61 Replies
2K Views
madola 5 ya kijeshi, yakiwa na maelezo ya mwaka yalipoanza kutawala kwa nguvu na mwaka yalipoporomoka: 1. Dola la Roma (Roman Empire) Mwanzo wa utawala wenye nguvu: 27 KK (chini ya Augustus...
3 Reactions
16 Replies
418 Views
Adolf Hitler alizaliwa na kubatizwa katika Kanisa Katoliki la Roma. Alizaliwa mwaka 1889 katika Austria, nchi iliyokuwa na Wakatoliki wengi, na katika ujana wake alihesabiwa rasmi kama Mkatoliki...
3 Reactions
10 Replies
222 Views
Napata picha mbaya sana ya hii chuki. Haijawahi kutokea tangu tumepata uhuru. Leo hii askari polisi au MwanaCCM akipata ajali watu wanafurahia afe. Akifariki mwanaCCM au chawa wa CCM watu...
5 Reactions
9 Replies
317 Views
GT Wameturahisishia sana. Tutaanzia.hapo airport kudai miili ya vijana wetu waliouawa na samia. Hatuwezi kukaa kimya kwa drama za kipuuzi. samia must go
6 Reactions
5 Replies
153 Views
Wanatumia x ili kupasha habari watu kimakosa.
3 Reactions
7 Replies
224 Views
Balozi Emmanuel John Nchimbi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuandikia ujumbe huu nikikuomba kwa heshima na unyenyekevu mkubwa uvunje ukimya ulisaidie taifa. Nchi yetu...
6 Reactions
29 Replies
821 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…