Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Haki mwisho wa siku hupatikana hata kama itachelewa. Huyu Maduro wananchi wake walikuwa hawamtaki na ilikuwa watu wakiandamana yeye response yake ni kuua waandamanaji ikiwemo WATOTO wa...
7 Reactions
12 Replies
198 Views
Humphrey Polepole amesema kwa utamaduni, desturi na katiba ya Chama cha Mapinduzi, Rais Samia hatakiwi kupeperusha bendera ya CCM kipindi hiki kwa msingi kuwa amekuwa Makamu wa Rais, Mungu...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Humphrey Polepole amesema, Salamu ya 'Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.... Kazi iendelee!' inamkiuka Mungu
20 Reactions
48 Replies
3K Views
https://youtube.com/shorts/d-gVWuklw7Y?si=zpWedEOCcjWkGVC9 Pamoja na kuendelea kukebehi maelfu ya wananchi waliouwawa na vyombo vya usalama vya serikali yake, hotuba ya Rais Samia ya tarehe...
7 Reactions
13 Replies
637 Views
Wakuu! Humphrey Polepole amesema alijiuzulu Ubalozi wa Cuba ili awe huru kuzungumza kwamba kuna tatizo kubwa katika Taifa letu na sio dhambi kujirekebisha. Sasa leo saa 2:00 usiku usikae mbali...
37 Reactions
175 Replies
14K Views
Wakuu Kila siku nasema humu. Wachina ni matapeli. Nakumbuka wakati wa uzinduzi wa Ilani ya CCM mwaka jana CCM walijaza Warusi, Wachina na Wakorea Kaskazini kwenye mkutano wao. CCM ilisema...
11 Reactions
31 Replies
659 Views
Habari wakuu Nilikuwa Offline kwa muda niliporudi nimekutana na zuio la kibiashara kwa raia wa kigeni machoni, nimewaza sana, unajua ninyi mnaokaa Dodoma hamjui changamoto ya haya maamuzi. Mungu...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
The Venezuelan people are today rid of Nicolás Maduro’s dictatorship and can only rejoice. By seizing power and trampling on fundamental freedoms, Nicolás...
1 Reactions
1 Replies
231 Views
Code, maboya ya ndege hayo ni yapi ambayo yatashushwa na kukoa CCM na Tanzania OIL isipomwagwa
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Clayton Chipando almaarufu kama Babalevo, aliyekuwa mtiania na mgombea wa ndani wa Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kigoma Mjini amejiharibia. Kama ulikuwa ni mtego, umemnasa. Kitendo chake cha...
14 Reactions
55 Replies
3K Views
Hapo vip! Kwa mauwaji ya kishetani na yakidharau yaliotokea oct.29 na 30 lazima wahusika nao, wateswe na kuuwawa vile vile. Ameuwa kwa upanga naye auwawe vile ni mtu mbaya sana huyu...
0 Reactions
2 Replies
125 Views
Wakuu, Nimekutana na video ya huyu wakuitwa mwanaharakati huru, Ahmed Kombo, akimjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche. Kombo amesema kuwa Heche hana haki ya kulalamikia uchaguzi...
1 Reactions
7 Replies
188 Views
Binafsi naungana na Trump kuwaonya viongozi wote katiri, wenye kiburi na wasioheshimu haki za wananchi wao. Mwaka 2019, wananchi wa Venezuela waliandamana kupinga matumizi mabaya ya mali za...
4 Reactions
20 Replies
432 Views
Copy and paste: Imagine muujiza alioufunya Mungu kwa Wavenezuela. Wameuwawa, wametekwa, wamefirwa,wamefungwa ila just one night wanaamka asubuhi yule aliyewafanyia hayo yote kwa miaka mingi sio...
7 Reactions
4 Replies
170 Views
Hii ipo wazi shujaa yoyote yule ambae anajitoa kupambania taifa lake ili kulinda taifa lake alafu inatokea anafariki kwa utata kiasi cha kila mtu kutoamini kama alifariki kwa natural death damu...
6 Reactions
20 Replies
431 Views
Dkt. Godfrey Malisa anakabiliwa na kesi mbili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, ambazo zote zimepangwa kutajwa tena Januari 16, 2026 baada ya kuahirishwa jana, Januari 2, 2026; - Kesi ya...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Tukisema tuna viongozi wa hovyo mnasema tunatumika na mabeberu haya kunyweni hilo tope Uranium zipo chini!!!
6 Reactions
17 Replies
324 Views
Miaka 17 iliyopita Mwigulu akiwa Naibu Katibu mkuu wa CCM alitengeneza kesi ya kuifuta Chadema akashindwa, alinaswa akionga watu Pesa msikilize Tundu Lissu, Miaka 17 baadae Mwigulu anakuja na...
7 Reactions
13 Replies
317 Views
Asili ya dini yake: Maduro alikulia katika familia Katoliki na anajieleza mara kwa mara kuwa ameokolewa ndani ya Ukatoliki Trump Trump alikulia katika familia ya Kikristo Protestant na...
3 Reactions
30 Replies
495 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitakuwa tayari kwa maridhiano yenye kupumbaza, kuhadaa, yenye ulaghai na yenye kuliondoa Taifa kwenye ukweli, haki na kile ambacho Taifa...
47 Reactions
68 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…