Nitaendelea kuwaita wajinga mpaka ujinga uwatoke kichwani mwenu. Mnalishwa kila aina ya uchafu na ninyi kwa ujinga wenu mnafungua kinywa mnakula tu.
Polisi hawana muda na watu safi, watu wasio na...
Leo dunia imejua mama anavyopendwa na kuheshimiwa.
Kwa hesima, tumekaa ndani tena kwa adabu kuliko wafungwa.
Tumesherehekea uhuru bila uhuru kama wafungwa kwa sababu ya kumtii na kumpenda...
Katika safari ya kudai mabadiliko ya kweli nchini, kumekuwa na misimamo tofauti, shutuma, dhihaka na hata manyanyaso yanayowakumba wale wanaosimama kidete kutetea haki, uhuru na ustawi wa taifa...
Aiseee hii ni aibu sasa naelewa kwanini Kisiwani hapajawahi kuwa hata kwenye elfu 1 bora ya matokeo ya Necta ama Nacte[emoji23]
Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche amesema kuwa Rais Samia hana uhalali wakuiongoza nchi yetu kwa kuwa serikali yake ni haramu na ni mtawala asiye halali.
Ameyasema hayo leo Desemba...
DKT. MWIGULU AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 11, 2025 amezungumza na watendaji na viongozi wa Sektretarieti ya...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Sekretarieti ya Maadili kwa Viongozi wa Umma kuchunguza mali za viongozi wenye viashiria vya rushwa.
Mahakama ya Wilaya ya Momba, iliyopo katika Halmashauri ya Mji Tunduma, Jana imewaachia huru Watuhumiwa 34 wa uhaini, kutokana vurugu za Oktoba 29, 2025.
Kwa mujibu wa Mwendesha mashitaka wa...
TAARIFA KWA UMMA
MSIMAMO WA CHADEMA KUHUSU UCHAGUZI BATILI WA 29 OKTOBA 2025 NA KILICHOJILI BAADA YA HAPO
1. Uchaguzi wa 29 Oktoba 2025 ni Batili, na Matokeo Yote Lazima Yafutwe
Uchaguzi mzima wa...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mwanaharakati Dayonè Vladislaus Monson ameandika haya;
“Kwanza kabisa si kubaliani na mauaji Yaliyo fanyika October 29 na ngependa kuona wale Askari walio fanya...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo na vyombo vya habari Desemba 11, 2025 amesema chama hicho kinaomba Jumuiya za kimataifa kuiweea...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), John Heche amesema kwamba chama hicho inaweka msimamo wa familia zote zilizopoteza wapendwa wao na raia wote waliopoteza viungo...
John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kuwa chama hicho hakiutambui uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 na matokeo yake ni batili hivyo chama hicho...
Ikumbukwe kuwa ndugu Godfrey Mwambe ambaye alikua waziri wa Uwekezaji anakabiriwa na makosa mbalimbali ya uhalifu na anashikiliwa kihalali katika kituo cha polisi kigamboni Leo hii ndugu Hekima...
Naelewa hasira, uchungu na hisia nyingine zilizoletwa na kile kilichotokea hasa baada Oktoba 29, lakini nadhani pamoja na yote hayo tuwaze tena ndugu zangu.
Namtolea mdogo wangu Nay mfano kwa...
Hakuna blabla wakitaka hawa nyau tuwasamehe kutoka moyoni waje tushiriki nao kwenye maandamano tena wabebeshwe na mabango bila hivyo waende wakale walikopeleke mboga
Wakazi wa Dar es Salaam wametoa wito wa kuzingatiwa na kudumishwa kwa amani nchini, wakisema ndio msingi wa ustawi wa maisha ya watu.
Wamesisitiza matishio ya vurugu yanavyoathiri shughuli za...
Nilikuwa najiuliza tu huu ufisadi wa kununua Rolls Royce na Mercedes Benz G Wagon kwa vigogo wetu nchini pamoja na hizi Rasimali za nchi tulizonacho zinavyotumika ndiyo sivyo.
Kwanini ulinzi wa...
Moja kwa moja kwenye mada.
Najua viongozi wa jwtz wako humu.
Jwtz wenyewe (askari wenyewe) wako humu.
Nawapongeza sana kwa kutuliza hali ya nchi. Ni wazi, bila jwtz kuwa deployed mitaani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.