Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dorkasi ameeleza kuwa utawazuiaje watoto ambao ni watu wazima tayari wenye miji yao kuwa wasiandamane wakati wao ndiyo watawala wa kesho, ameeleza hii kufuatia hoja iliyotolewa mbele ya wazee wa...
5 Reactions
5 Replies
222 Views
The Commonwealth Ministerial Action Group met to review critical developments in Tanzania. Read the statement 🔗 bit.ly/CMAG-71 Ministers expressed concern over reports of breaches of core...
6 Reactions
35 Replies
982 Views
Sidhani kama Chadema walikimbia uchaguzi kwa shinikizo la watu wa nje. Hii sio kweli kabisa. Takwa kubwa lilikuwa ni kupata katiba mpya ambayo ingeweza kuleta mazingira ya kutokuwa na udanganyifu...
4 Reactions
3 Replies
106 Views
Salaam Wakuu, Hapa chini nimewawekea hotuba nzima ya Luhaga Mpina bila kuchakachua kitu. Angalizo, hii Hotuba ilitolewa tarehe 27 Oktoba, lakini Document ya hotuba imetoka leo. Naipost hapa...
2 Reactions
4 Replies
283 Views
BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema kuwa linaunga mkono tamko la Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche, la kupinga uchaguzi mkuu wa 2025 na kueleza...
2 Reactions
3 Replies
144 Views
Ameandika Malisa kupitia ukarasa wake mtandaoni; "Nasikitika kuwajulisha kuwa jana majira ya saa 8 usiku (kwa saa za huko nyumbani) watu wenye silaha walivamia nyumbani kwa wazazi wangu, kijijini...
17 Reactions
41 Replies
1K Views
Bibi Dorkasi amehoji kauli ya Rais alipokuwa akiongea na Maafisa wa kijeshi Jijini Tanga kwa kulitaka lisichafuea sifa yake kwa kujiingiza kwenye mambo ya siasa, Bi Dorkasi amesema kuwa...
15 Reactions
8 Replies
328 Views
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa...
5 Reactions
64 Replies
1K Views
Samia anakuja kuongeza hasira za vijana kuandamana badala ya kuja kuponya majeraha. Najua atasema, vijana walilipwa, akijua anawatetea kumbe ni dharau kwao kuwa hawana akili ya kuamua...
13 Reactions
36 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekishutumu chama kimoja cha siasa nchini akidai kinatumika na maslahi ya nje kuvuruga amani na mwelekeo wa taifa...
3 Reactions
21 Replies
503 Views
"Wewe huku unaambiwa komaa kamanda mpaka ufe, sisi [wabunge wa CCM na upinzani] tunaazimana mpaka mafuta." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu akizungumza na wananchi wa Uyole, Mbeya
2 Reactions
35 Replies
910 Views
Anaandika John Heche "Chama chetu kimeshambuliwa pakubwa mno, viongozi na wanachama wetu kwa maelfu wametekwa, kuumizwa, kuwekwa mahabusu za polisi kwa mda mrefu bila sababu.. Wengine kina Mdude...
13 Reactions
13 Replies
571 Views
"Ni juzi tu watu wamekufa kama panya alafu tunaambiwa usiseme hicho, na sisi tumekuwa wapumbavu tunadhani hizi ni zama kama zile za mababu " Padre Parokia ya kiwanja cha Ndege Dodoma.
24 Reactions
65 Replies
1K Views
DODOMA, Tanzania – Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ufafanuzi kufuatia uamuzi wa Serikali ya Marekani kuiweka Tanzania katika kundi la nchi 15 ambazo raia wake wamewekewa...
1 Reactions
11 Replies
636 Views
Msanii Zuena Mohamed ( Shilole ) ambaye ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Migahawa ya SHISHI FOOD, leo Disemba 18,2025 akiwa katika eneo la Mgahawa wake wa Dar es salaam ambao ulichomwa moto katika...
2 Reactions
17 Replies
404 Views
Askofu Mkuu wa Makanisa ya Bethel Calvary Church Dr. Willy Ackyoo amewasihi Watanzania kuonesha uzalendo wao kwa Tanzania kwa kuhakikisha wanasherekea kwa amani, Sikukuu ya X - Mass ambayo...
0 Reactions
2 Replies
140 Views
Nimesoma na kusikia maelezo mbalimbali ya watawala walioshinda kwa kushindwa ya kuhusuiana na Octoba 29. Hata jana Samia alipowasifia JWTZ nilitarajia angesema kitu kuhusu uwezo mdogo wa vyombo...
27 Reactions
68 Replies
1K Views
Leo Desemba 19, 2025, Jeshi la Polisi limemkamata Bi. Ashura Masoud, Katibu wa Kanda ya Kati, akiwa katika ofisi za Kanda - Dodoma akijiandaa na mkutano na waandishi wa habari. Pia wamekamatwa...
3 Reactions
9 Replies
293 Views
Sheikh Pembe, ametoa onyo kwa Waislam kuhusu maandamano ya Desemba 25, akisisitiza kuwa jamii inapaswa kutazama matokeo ya mwisho ya hatua yoyote badala ya kushawishika na mipango au kauli...
1 Reactions
54 Replies
837 Views
Leo asubuhi Lema alitoa ushauri ufuatao wa namna ya kudili na machawa wanajibaraguza wa wanasiasa na kuacha kusimama na wananchi ambao ndiyo nguzo kuu yao: "Ni rahisi sana kuwaweka CHAWA straight...
23 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom