Dorkasi ameeleza kuwa utawazuiaje watoto ambao ni watu wazima tayari wenye miji yao kuwa wasiandamane wakati wao ndiyo watawala wa kesho, ameeleza hii kufuatia hoja iliyotolewa mbele ya wazee wa...
The Commonwealth Ministerial Action Group met to review critical developments in Tanzania.
Read the statement 🔗 bit.ly/CMAG-71
Ministers expressed concern over reports of breaches of core...
Sidhani kama Chadema walikimbia uchaguzi kwa shinikizo la watu wa nje. Hii sio kweli kabisa.
Takwa kubwa lilikuwa ni kupata katiba mpya ambayo ingeweza kuleta mazingira ya kutokuwa na udanganyifu...
Salaam Wakuu,
Hapa chini nimewawekea hotuba nzima ya Luhaga Mpina bila kuchakachua kitu.
Angalizo, hii Hotuba ilitolewa tarehe 27 Oktoba, lakini Document ya hotuba imetoka leo. Naipost hapa...
BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema kuwa linaunga mkono tamko la Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche, la kupinga uchaguzi mkuu wa 2025 na kueleza...
Ameandika Malisa kupitia ukarasa wake mtandaoni;
"Nasikitika kuwajulisha kuwa jana majira ya saa 8 usiku (kwa saa za huko nyumbani) watu wenye silaha walivamia nyumbani kwa wazazi wangu, kijijini...
Bibi Dorkasi amehoji kauli ya Rais alipokuwa akiongea na Maafisa wa kijeshi Jijini Tanga kwa kulitaka lisichafuea sifa yake kwa kujiingiza kwenye mambo ya siasa, Bi Dorkasi amesema kuwa...
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekishutumu chama kimoja cha siasa nchini akidai kinatumika na maslahi ya nje kuvuruga amani na mwelekeo wa taifa...
"Wewe huku unaambiwa komaa kamanda mpaka ufe, sisi [wabunge wa CCM na upinzani] tunaazimana mpaka mafuta." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu akizungumza na wananchi wa Uyole, Mbeya
Anaandika John Heche
"Chama chetu kimeshambuliwa pakubwa mno, viongozi na wanachama wetu kwa maelfu wametekwa, kuumizwa, kuwekwa mahabusu za polisi kwa mda mrefu bila sababu..
Wengine kina Mdude...
"Ni juzi tu watu wamekufa kama panya alafu tunaambiwa usiseme hicho, na sisi tumekuwa wapumbavu tunadhani hizi ni zama kama zile za mababu " Padre Parokia ya kiwanja cha Ndege Dodoma.
DODOMA, Tanzania – Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ufafanuzi kufuatia uamuzi wa Serikali ya Marekani kuiweka Tanzania katika kundi la nchi 15 ambazo raia wake wamewekewa...
Msanii Zuena Mohamed ( Shilole ) ambaye ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Migahawa ya SHISHI FOOD, leo Disemba 18,2025 akiwa katika eneo la Mgahawa wake wa Dar es salaam ambao ulichomwa moto katika...
Askofu Mkuu wa Makanisa ya Bethel Calvary Church Dr. Willy Ackyoo amewasihi Watanzania kuonesha uzalendo wao kwa Tanzania kwa kuhakikisha wanasherekea kwa amani, Sikukuu ya X - Mass ambayo...
Nimesoma na kusikia maelezo mbalimbali ya watawala walioshinda kwa kushindwa ya kuhusuiana na Octoba 29. Hata jana Samia alipowasifia JWTZ nilitarajia angesema kitu kuhusu uwezo mdogo wa vyombo...
Leo Desemba 19, 2025, Jeshi la Polisi limemkamata Bi. Ashura Masoud, Katibu wa Kanda ya Kati, akiwa katika ofisi za Kanda - Dodoma akijiandaa na mkutano na waandishi wa habari. Pia wamekamatwa...
Sheikh Pembe, ametoa onyo kwa Waislam kuhusu maandamano ya Desemba 25, akisisitiza kuwa jamii inapaswa kutazama matokeo ya mwisho ya hatua yoyote badala ya kushawishika na mipango au kauli...
Leo asubuhi Lema alitoa ushauri ufuatao wa namna ya kudili na machawa wanajibaraguza wa wanasiasa na kuacha kusimama na wananchi ambao ndiyo nguzo kuu yao:
"Ni rahisi sana kuwaweka CHAWA straight...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.