Mbowe ni mtu wa kipekee sana. Jamaa ni mstaarabu mno na ni mtu mwenye akili yingi sana. Nimeona ile video aliyokuwa anadhalilishwa na yule polisi akimwambia hamshindi mgombea wa ccm. Kwenye video...
Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Konde boy ana wimbo maarufu ndani yake ukimtajataja gwaji boy ambao ukipigwa hata mwenyekiti wetu hunesanesa kwa mbwembwe.
Wimbo huu umepigwa mara kadhaa...
Hakika ITV mmedhihirisha kuwa ni chombo huru cha habari angalau kwa vigezo vya nchi zinazoendelea ambapo mara nyingi uhuru wa habari hutiwa kitanzi.
katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea...
Hili swali limekaa kwenye vichwa vya watu, kila mtu akijiuliza,je awamu ya pili utabadilika?
Awamu hii ya pili utaweka sera nzuri za kufanya sekta binafsi inyanyuke? Mzunguko wa pesa uonekane...
Tulipokuwa darasa la Kwanza..
Mara nyingi tukitoka shuleni muda wa saa tano kurudi nyumbani Ngumi njiani zilikuwa kama JADI.
Sasa ukiona mwenzako wakati wa kupigana anakimbilia kubeba MAWE au...
Palipo na mbunge wa upinzani amekuwa akiwaambia wapiga kura sehemu husika walikosea kuchagua, kauli hii imekuwa ikinikera mpaka imebidi leo niseme. Kwa hakika ni yeye ndiye tuliokosea kuchagua...
Bajeti za Madawa kutoka Billion 34 mpaka sasa Billion 270
80% vijiji vyote vimepata Umeme
Tatizo la Umeme linakwenda kuwa historia kupitia mradi kubwa wa Stigles pale Rufiji ambao utatoa...
Jana Katibu Mkuu wa CCM alikaririwa akiwahakikishia mabalozi kwamba uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanywa October 28 utakuwa huru na wa haki.
Miezi michache iliyopita Rais Magufuli alitoa kauli...
KWA NINI WATANZANIA NI WAOGA? JE WEWE NI MWOGA?
Na, Robert Heriel
Kauli ya Mzee Butiku alipokuwa akihojiwa na ITV, Kusema woga wa Watanzania ni wakujitakia, sio kwamba wanazuiwa kusema ukweli...
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6...
Mwalimu alisema “Watanzania wamechoka na rushwa”. Tunayo kila sababu ya kuangalia jinsi Rais Magufuli alivyopambana na kero hii ambayo ni adui mkubwa wa haki za Watanzania, hasa wanyonge. Je, Rais...
Japo wengi wameshamzungumzia nami noma haya machache
Jana nilimsikilza kwa makin sana Jk pale Mbagala Zakheim
Ameeleza yeye kuwa muasisi mkuu wa baaďhi ya taasisi ikiwemo REA(Rural energy...
Nimesikia kauli ya bw. Membe kwa jinsi alivyo na msimamo thabiti usiyoyumba...biashara ya kuyumbishwa yumbishwa Kama aliyofanyiwa Dr Slaa kipindi kile hataka kuisikia..kwa sababu kipindi kile...
Wewe ni Mufti wa Tanzania lakini pia hapo hapo Wewe ni Kiongozi Mkuu wa Kiimani nchini Tanzania bila kujali hata Sisi akina Gentamycine ambaye ni Mkristo tena wa 'Dhehebu' la Katoliki kabisa...
Amesikika akisema kwamba yeye ana jina la Kiislam, anaitwa Rashidi.
Jinsi alivyolipata hilo jina:
Alitelekezwa Msikitini Waislam wakamchukua na kuanza kumtunza. Hatuambii kwamba kuna wakati...
Leo nizungumzie jambo moja ambalo binafsi naona ni tatizo kwa sasa.
Chadema ni chama kikubwa sana na kina wafuasi wengi, ila nathubutu kusema wafuasi/mashabiki wa chadema na upinzani humu...
Dr JPM kwenye kampeni zake Korogwe aliahidi kushughulikia maslahi na mishahara mara tu baada ya uchaguzi naomba watumishi wote tumuamini kwa vile ninavyomfahamu Rais wetu akiahidi hutekeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.