MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesisitiza kuwa msimamo wake wa tozo ya Sh 1,000 kwa laini moja ya simu upo palepale na kuwataka wamiliki wa kampuni za simu kuhakikisha wanaendelea kutoza kodi...
Kilimanjaro Native Co-operative Union 1984 Ltd, ni mojawapo ya vyama vya ushirika nchini vilivyokuwa na nguvu sana! Nakumbuka wakati nikisoma mkoani Kilimanjaro, nilikuwa nikipita kwenye jengo...
ICC unveils arrest warrant for Ivory Coast politician Ble Goude
Thomas Escritt 3 hours ago
.View gallery
Charles Ble Goude speaks during a rally with youths in Yopougon, Abidjan December 29...
Habari zenu wana jamvi!!!! hivi kulingana na utaratibu na sheria pia, ni vizuri kwa kiongozi wa juu kujihusisha na kutangaza biashara fulani. Kama mmewahi kusikia tangazo la vodacom la mpesa...
Tuesday, October 1, 2013
Wadaiwa kumpotosha Rais
Maandamano nayo yaiva
Bunge. Vyama hivyo vimeungana kupinga mchakato wa katiba baada ya wabunge wa CCM na Mbunge wa TLP, Augustine Mrema...
wadau naona kila kukicha vituko vinazidi katiba mpya maccm yamekuwa kama mbuni kuficha kichwa mwili wote uko nje tumeona Mh Chikawe akikiri kuwa ni kweli Zanzibar haikushirikishwa katika vifungu 6...
Ni napenda kumshukuru Mungu kwa kuweza kunijaalia afya na akili ya kuweza kutambua mema na mabaya. Kila mtu ana haki ya kufikiria na kutenda kwa uhuru kabisa bila kuvunja sharia na taratibu...
Kuna vitu viwili ambavyo kuvitenganisha daima ni vigumu; elimu na uongozi.
Kati ya hivi vipengele, ukikosa elimu ukawa kiongozi basi ujue hata utakae muongoza hataona kama ana kiongozi. Zaidi...
Habari za jioni hii wana jamvi wenzagu? Shaka kila mmoja wetu ni mzima wa afya na kama sivyo pole sana! Nami naomba nitumia nafasi hii leo kuwasilisha niliyoyaona wilaya ya Mbinga juu ya barabara...
Written by haki | //
Uwanja wa michezo wa Namfua unaomilikiwa na CCM mkoa wa Singida, unatotarajiwa kufanyiwa ukarabati mkubwa na makampuni ya Mohammed Entreprises (T) ltd ikishirikiana na...
Serikali imejiweka njia panda katika kuyafungia magazeti mengine mawili, Mtanzania na Mwananchi na sasa Wanaharakati, Asasi za Kiraia, Baraza la Habari Duniani, Watetezi wa haki za Binadamu...
wanajamvi kama mtakumbuka mchungaji mtikila alishinda kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili baada ya jaji mgeta kutupiliambali madai ya serikali kwa kuwa sheria inataka pamoja na matamshi lakini...
Mchakato wa kupata katiba mpya ya Watanzania (Watanganyika na Wazanzibari) umekuwa kama mzuka ambao unaowatia wanasiasa wazimu na kujiweka wao wenyewe mbele zaidi kama ndio wenye hakimiliki ya...
Katika pita pita yangu Mitaani Leo nimekutana na habari za Waziri wetu kuagiza sumu Kali kwa njia ya EMS kutoka Korea. Haraka haraka nikaitafuta habari hiyo humu Naona imeishaoondoka. Ukiachilia...
ASEMA KAULI ZAKE WANATAKA WAZIONE KWENYE KAMATI YA KATIBA
Na Josephat Isango
MNADHIMU wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, amesema kuwa watapima kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu...
Nimepita shule ya msingi Busolwa,nimekuta watoto wanachemsha pombe ya
mwalimu,wengine wanalima mashamba ya walimu,wengine wanaosha
vyombo,wengine wanafyatua matofari.Nawauliza kuhusu kusoma...
Kufuatia mvutano uliozuka baina ya serikali na
vyama vya upinzani nchini Tanzania ,Rais Jakaya
Kikwete amevitaka vyama vya kisiasa visiitishe
maandamano na kuwa yuko tayari kuzungumza na
vyama...
Salamu ya CCM inaanza kwa hivi: Kidumu chama cha Mapinduzi...... Wengine huitikia ...Kidumu Chama Tawala. Salamu hii inaonyesha kuwa CCM ni chama tawala lakini kwa kasi ya mabadiriko ya fikra za...
Na Edwin Moshi wa
Globu ya Jamii, Makete
Umoja wawanawake wa CCM Tanzania (UWT) umeahidi kutoa solar Panel moja yenyethamani ya zaidi ya tsh laki nane kwa shule ya sekondari Ikuwo iliyopo...
Bila shaka kuwa kuandika historia kunahitaji dhamira ya dhati isiyoyumbishwa na mtu. Marais wote watatu waliopita wamefanya waliyofanya na sisi wananchi tunawakumbuka.
Kikwete anayo nafasi moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.