Amesema Kijakazi anapoolewa pale alipokuwa akifanyakazi anakuwa MNYONGE (anakosa uhuru asije akaachika akarudi kuwa kijakazi).
Anawafananisha CUF na kijakazi na Bosi wao ni CHADEMA kwa sababu...
Wanajamvi Nimerejea Tena Katika Harati Za Kitafiti Zenye Lengo La Ukomboz Kwa Wanamwanga Wote Bila Kujali Itikad Za Kisiasa
Wandugu Leo Nilikuwa Usang Nilitembelea Vijiji Vya Ngulu Ndorwe Na...
Ndugu wana JF lema ameitisha mkutano wa hadhara leo katika viwanja vya Ngarenaro hapa Arusha.
Miongoni mwa mambo yaliyonisisimua ni kuona magari 3 ya matangazo yakipita mtaani kutangaza mkutano...
Watanzania tumekuwa na tabia ya kuwadhihaki watu wanaohama Chama cha Mapinduzi kwenda Upinzani kwa ushabiki wa vyama tu bila kuangalia Issues.
Tukumbuke ni hivi majunzi Serikali kupitia Baraza...
Ktk muendelezo wa vigogo kuhama chama cha mapinduzi baada ya lembeli..bulaya...makongoro
Leo nasubiri zamu ya nani niendeleze kukata ile keki aliyotuachia baba was taifa
Karibuni sana ukawa...
Kuna watu kutokana na nafasi zao katika jamii katu asilani hawawezi kusema wao ni ukawa ila ndani ya nafsi zao wanajua ,miongoni mwao n watumishi wa umma ,ukitaka kuamini jiulize Halima Mdee...
1. Kumkabidhi Lowasa uenyekiti wa CHADEMA.
Kwa kauli yake kasema wanachadema wasiwe na hofu na wageni kwa sababu yakuja kuchukua nafasi zao na mgeni chamani ana haki sawa na mwenyeji...
Rais wa zamani mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete yupo mkoani Tanga leo 03/08/2015 katika viwanja vya Tangamano kuwaaga wanaccm wa mkoa huo,pamoja na wanatanga.
Kuna kipindi kila mtanzania anakuwa mchambuzi wa mambo ya michezo utasikia pale angecheza fulani namba kumi tungefunga,sasa kila mtanzania amekuwa mchambuzi wa mambo ya siasa mpaka inaboa,kuna...
Hali ya kisiasa Ulanga Magharibi inazidi kuwa na jotoridi la juu.Watu kadhaa wanatajwa kuwania ubunge kwa tiketi za CCM na UKAWA pia.Mbunge aliyepo madarakani Mponda inaonekana kuchokwa kwa kiasi...
Kuna habari nyeti kuwa kuna mamluki wengi wa Lowasa walioshinda kwenye kura ya maoni ambao ikifika kipindi cha kurudisha fomu hawatarudisha na Ccm kupoteza wagombea.
Hii ni mbinu inayotumika...
Mbunge wa jimbo la Kasulu mjini alohamia ACT kutoka NCCR-MAGEUZI amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukabiliwa na zomeazomea na maswali kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Sunuka jimbo la...
Mzee Ngombale Mwiru ameowaomba watu waliokwazika na kauli yake aliyoitoa Dar es salaam wakati akimnadi Lowassa, kuwa mdomo uliteleza ''lapsus''
Sio vizuri kuweka msimamo kabla mchakato...
Inasikitisha sana kuona chama kilichokuwa na sifa hapa nchini kupinga vita ufisadi na rushwa, ndio kinakuwa chama kikuu cha kupokea mafisadi ya kila namna. Inasikitisha sana hasa ikizingatiwa kuwa...
Habari wanaJamii Forums..
Hili La Askofu Mwingira lapaswa kuungwa mkono kwani Askofu kasema hiyo BVR ndiyo tiketi ya kuingilia ibadani Leo.
Chanzo, Gazeti :Nyakati
Siku zote tumewasikia wanasiasa wetu wakijigamba ya kuwa chama ndiyo kinachobeba umaarufu wa mtu na wala siyo mtu. Jambo hili limekuwa si kweli hapa kwetu nchini. Tunashuhudia athari kubwa...
Habari wakuu,
Tangu uteuzi wa watia nia wa urais kupitia CCM umalizike na yeye kukatwa, hajaonekana tena wala kusikika. Hata TBC wakimuonesha kwenye mashamba ya zabibu hakuna. Je, yuko wapi?
Napata shaka sana nani alikuwa nyuma ya ufisadi wa serikali hii JK asiyeogopa, asiyeshiba na aliyetuona watanzania mazuzu wasiyoweza kufanya chochote hata aibe nini!
1:Tulianza na RICHMOND...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.