figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Heshima kwenu wakuu,
Mimi huwa napenda sana mayai ya kuchemsha, ila sijajua wakati wa kuchemsha unachanganya viungo gani.
Nategemea kupata mgeni, mgeni wangu anapenda mayai ya kuchemsha na nataka nimsurprise sana..
Tatizo nikichemsha nikaweka maji mengi yanapasuka na kutuna.. Sipendi, nikiweka maji kidogo saa nyingine yanaungua au hayaivi.
Sasa naombeni maujanja yenu. Nataka mayai kuchemsha yawe na radha ya biriani au Pilau.. Yaani nataka yawe mapishi advance ambayo hajayapata kuyaona popote.
Nichemsheje mayai?
Asante kwa kujali..
Mimi huwa napenda sana mayai ya kuchemsha, ila sijajua wakati wa kuchemsha unachanganya viungo gani.
Nategemea kupata mgeni, mgeni wangu anapenda mayai ya kuchemsha na nataka nimsurprise sana..
Tatizo nikichemsha nikaweka maji mengi yanapasuka na kutuna.. Sipendi, nikiweka maji kidogo saa nyingine yanaungua au hayaivi.
Sasa naombeni maujanja yenu. Nataka mayai kuchemsha yawe na radha ya biriani au Pilau.. Yaani nataka yawe mapishi advance ambayo hajayapata kuyaona popote.
Nichemsheje mayai?
Asante kwa kujali..