Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,354
- 33,192
Tunapozungumzia kula kuku kwa ajili ya Afya zetu tunazungumzia kuku wetu wa kiasili au tunapozungumzia umuhimu wa kula mayai zaidi tunakusudia mayai bora ya kuku wetu wa Asili na mapishi yenye ubora zaidi ktk màyai si kuyakaanga bora zaidi ni kwa kuxhemsha na ukihitaji kukaanga basi si kwa mafuta mengi na pendelea
mafuta asili mimi binafsi huwa natumia mafuta ya mzaituni kwani mzaituni una kawaida ya kuua sumusumu ktk vyakula vilivyopitiwa na hizo sumu
Tunapozungumzia kula kuku kwa ajili ya Afya zetu tunazungumzia kuku wetu wa kiasili au tunapozungumzia umuhimu wa kula mayai zaidi tunakusudia mayai bora ya kuku wetu wa Asili na mapishi yenye ubora zaidi ktk màyai si kuyakaanga bora zaidi ni kwa kuxhemsha na ukihitaji kukaanga basi si kwa mafuta mengi na pendelea
mafuta asili mimi binafsi huwa natumia mafuta ya mzaituni kwani mzaituni una kawaida ya kuua sumusumu ktk vyakula vilivyopitiwa na hizo sumu
SWALI JE UNAJUA UCHEMSHAJI BORA WA MAYAI ?
Leo nitakujuza vizuri.
Ili kuchemsha mayai vizuri
fuata maelezo yafatayo:
1.weka mayai kwenye sufuria kisha
ongeza maji adi yafunike
mayai,yazidi mayai kwa inchi moja
(1inch). hakikisha ni maji baridi ya
kawaida.Ukianza kuchemsha mayai
na maji ya moto ni lazima mayai
hayo yapasuke.
2.Ongeza nusu kijiko cha chai cha
Baking soda au zaidi kutokana na
wingi wa mayai.watu wengine
hutumia chumvi badala ya baking
soda.ni vyema kujua kwamba
baking soda hufanya kazi vizuri
zaidi kuliko chumvi.
Baking soda huraisisha
kumenya,husaidia ganda la
yai kubanduka kirahisi.
3.Bandika sufuria hilo jikoni na
uchemshe mayai kwa kati ya
dakika tano .chemsha mayai
kwa moto kwa wastani,moto mkali
sana husababisha mayai kupasuka
4.Mayai yakiiva tu,toa mayai
kwenye maji ya moto na kisha
yatumbukize kwenye maji ya
baridi,maji baridi yenye barafu
yanafaa zaidi,acha kwa dakika tano
au zaidi ili mayai yapo.
Hii husaidia selii na kuta za
yai kushikana vizuri na
kufanya kazi ya kumenya
kuwa rahisi
5.Toa mayai kwenye maji
baridi,weka kwenye taulo ili
kukausha .
6.Gonga sehem ya juu/kichwa cha
yai taratibu ili kuvunja gamba la
yai,menya yai hilo.
Mpaka hapa mayai tayari kabisa
kwa kula au kutengenezea chakula
kingine.