Tujuzane machimbo yetu pendwa ya nyama ya kitimoto

tibe_j

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
794
1,069
Pamoja na kuwa tunaandamwa sana na thread za kutishia afya zetu kisa kula nyama yetu pendwa, mimi kama mdau nashauri tuwapuuze tu na zaidi tufahamishane maeneo inapopatikana kirahisi popote Tanzania ili wadau tupate urahisi wa kufika na kusuuza roho.

Mimi kwa hapa jiji la Makondakta napendelea kwenda kwa "RAS" mitaa ya Mikocheni ama hapo Kontena CCM kama unaelekea hospital ya Kairuki ukitokea Victoria Mikocheni. Karibuni.
 
Keko machungwa
IMG_20210131_185322_929.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom