tibe_j
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 794
- 1,069
Pamoja na kuwa tunaandamwa sana na thread za kutishia afya zetu kisa kula nyama yetu pendwa, mimi kama mdau nashauri tuwapuuze tu na zaidi tufahamishane maeneo inapopatikana kirahisi popote Tanzania ili wadau tupate urahisi wa kufika na kusuuza roho.
Mimi kwa hapa jiji la Makondakta napendelea kwenda kwa "RAS" mitaa ya Mikocheni ama hapo Kontena CCM kama unaelekea hospital ya Kairuki ukitokea Victoria Mikocheni. Karibuni.
Mimi kwa hapa jiji la Makondakta napendelea kwenda kwa "RAS" mitaa ya Mikocheni ama hapo Kontena CCM kama unaelekea hospital ya Kairuki ukitokea Victoria Mikocheni. Karibuni.