BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,517
Upishi uko ukanda wa pwani na kidogo mikoa kadhaa kutoka pwani, baada ya hapo hakuna mapishi, nenda huko Kanda ya Ziwa nenda jiji kama Mwanza hakuna kitu pale, chakula wanajua kujaza nyanya wakizania ndio upishi wenyewe, unakula.chakula kama unakula tope hakina radha. Nenda sijui huko Mara ni balaaa tupu kabisa kwenye upishi.
Kwa kifupi ukitoa ukanda wote wa pwani na jirarani zake huko kwingine hakuna mapishi.
Nilikaa Kigoma nyakati fulani niliondoka bila kula wali, sana nilikuwa nakula Ugari wao wa muhogo basi.
Kwa kifupi ukitoa ukanda wote wa pwani na jirarani zake huko kwingine hakuna mapishi.
Nilikaa Kigoma nyakati fulani niliondoka bila kula wali, sana nilikuwa nakula Ugari wao wa muhogo basi.