Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Heshima zenu wote. Niliwahi kusikia ya kwamba ndugu zangu Wakristo - Wasabato (samahani kwa kutaja dini, lakini kwa nia njema kabisa) huwa wanafundishwa mbinu za mapishi ikiwamo kuandaa vyakula...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM Nilianza kuchemsha nyama...
26 Reactions
130 Replies
4K Views
Haya ndio makabila na vyakula vyao pendwa 1.Mpare -makande 2.Msukuma-Ugali 3.Mhaya-Ndizi 4.Mnyakyusa-Parachichi 5.Mmatumbi-Wali 6.Mluguru-Mlenda 7.Mchaga-Kitimoto 8.Mmakonde-Ming'oko...
0 Reactions
4 Replies
777 Views
Haya kama ulikuwa unataka kufahamu pishi fulani namna ya kuliandaa ili kulifanya futai na lisilo futari niulize ikiwa nalifahamu nitakujuza hapahapa namna lipikwavyo. Karibu.
6 Reactions
41 Replies
37K Views
unga lishe ni unga kwaajili ya chakula ulio na mchanganyiko wa viini lishe vyote muhimu. mara nyingi unga huu hutumiwa kuandalia uji .wakati mwingine utengenezaji wa unga huu huzingatia walengwa...
3 Reactions
5 Replies
17K Views
Hii ramani ya Afrika ikionesha nchi pamoja na chakula Kikuu cha taifa husika.
0 Reactions
13 Replies
777 Views
Niko Mwanza kitaliii…. wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
3 Reactions
80 Replies
5K Views
weekend napenda kutengeza beats kwasababu kuu moja katika ya wiki naweza rudi nimechoka na njaa nikakosa cha kula beats zikanisev nikala nikalala weekend hii niliamua kutengeneza kokoto...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Leo nataka nikufundishe kuiandaa sos ya nyama kwa kabla hujaichoma aidha mishkaki au aina yoyote ya kuchoma au kukaanga (fried). Code tunazotumia ni product maujanja ya ya kiczech...
3 Reactions
10 Replies
830 Views
▶️DONDOO ZA JIKONI:- 1🧂Ukiandaa nyama kwa viungo kama tangawizi, thomu na masala ongeza mafuta kidogo na mtindi vijiko viwili utafurahi. 2🧂Ukikosa vanilla unaweza saga ganda la limao bichi...
7 Reactions
10 Replies
1K Views
Dinner ya Adam na Hawa.
3 Reactions
7 Replies
514 Views
Kuna wajasiriamali Wengi Sana siku online wanatangaza kupika vyakula mbali mbali na kutangaza unaweza agiza chakula online ...kinakufikia... Nna watu wengi waliowahi agiza vyakula kutoka...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Mara ya pili sasa nashauri tena hili jukwaa la mapishi libadilishwe title liitwe jukwaa la chakula na vinywaji!, Wahariri wa humu sijui hamulioni hili!, maana hapo linaitwa jukwaa la mapishi tu so...
3 Reactions
13 Replies
668 Views
Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio...
39 Reactions
240 Replies
6K Views
Mimi huwa napenda kupika, kujifunza na kujaribu Mapishi mbalimbali Nyumbani na Familia yangu hufurahia sana ninachokifanya mbali na Shughuli zangu zinazoniingizia Kipato. kuna siku rafiki yangu...
20 Reactions
69 Replies
15K Views
Natumaini mkopoa Wapenz wa ndizi ,Ndizi mzuzu zikiiva msitupe Leo nimewaletea recipe hii ya kupika ndizi mzuzu zilizoiva za Nazi MAHITAJI Naz Ndiz zilizoiva Iriki iliyosagwa ama nzima...
23 Reactions
136 Replies
6K Views
Habari zenu wapishi. Naomba kufahamu jinsi ya kuandaa viungo vya chai ya rangi. Yaani niweke viungo pekee bila majani ya chai iwe tamu na kunukia vizuri.
13 Reactions
110 Replies
38K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha Poleni mlioumizwa
10 Reactions
66 Replies
3K Views
Habarini wandugu. Naombeni msaada jinsi ya kupika maandazi ya oven: Asanteni;
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu Hivi haya maharage ni ya matajiri?
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom