Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hellow Leo bhna nilitaka kukimbia hapa sasa gafla natoka njee mh nakutana na wazee wazima hawa hapo wanakula nikasema ngoja nirudi ndani niangalia chakufanya sina mbio za kukimbiza nao ndio...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
hii ni nyama adim sana ila ukiipata utajilamba ila kunawatu hawaipendi kwa sababu ya bei yake ni kubwa sana
17 Reactions
86 Replies
3K Views
Wakuu habari za mchana, Nadhani tunajua watu wengi sikuhizi wamekuwa wakijali sana afya zao na wamekuwa wakitafuta namna ya kutengeneza au kula zaidi vyakula vya asili kuliko vya kwenye makopo...
3 Reactions
41 Replies
34K Views
Eti wakuu? Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
9 Reactions
80 Replies
2K Views
Wakuu najua jF ni kisima cha maarifa, hakuna kinachoshindikana hapa. Sasa embu tutoane tongotongo hapa. Je kuna misosi inayoweza kumfanya mtu atoe kijasho chembamba chenye harufu nzuri ya...
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa. Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa...
32 Reactions
282 Replies
12K Views
Unaangusha mate ukiwa wapi😁😅😅😅😅😅😅
16 Reactions
36 Replies
1K Views
Nazozijua Mimi ni njugu ndo nimezizoea ila mtandaoni naona Tena Kuna kitu kinaitwa njugu mawe na kwa English ni almonds wakati njugu zenyewe za kawaida kwa English zinasomeka nuts..na Tena eti...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo. Nimekutana na haya mawili Von na Kodtec pressure cookers. Kwa budget ya chini ya Tsh 200,000/= nichukue lipi? Au kuna suggestion nyingine?
5 Reactions
130 Replies
8K Views
Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama MAHITAJI Unga wa ngano Nyama Hoho Karoti Chumvi Mafuta Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza...
37 Reactions
325 Replies
7K Views
Wakuu, Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka? Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta...
31 Reactions
227 Replies
5K Views
Hiki ni chakula maarufu kwa wenzetu wa kule Zenj.Je kinaandaliwaje? na faida zake kiafya..
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein. Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni...
8 Reactions
100 Replies
4K Views
Nilichokitoa hapa ni aibu natamani nimfate muuzaji aje tule wote haiwezekani aniuzie nyanya za kachumbari kumbe mimi nahitaji nyanya zakupikia!, nyanya inakimbizana na samaki kwenye sufuria ndo...
1 Reactions
0 Replies
303 Views
Nina health issue inayonihitaji kula carrot, hoho, vitunguu na spinach on daily basis kama dawa, aidha vibichi, kwenye juisi au vipikiwe ila visiive sana. Lakini napata challenge kutunza hoho na...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Umeingia zako Restaurant na kuletewa huu msosi je unaupa asilimia ngapi?!
2 Reactions
0 Replies
355 Views
Wadau hamjamboni nyote? Huu ni ushuhuda wangu kuwa Mimi ni mlaji mzoefu wa mihogo ninapoamka asubuhi Leo asubuhi nimekunywa kahawa ya maziwa, mkate uliopakwa pinatibata na bluu bendi, tumbo...
5 Reactions
16 Replies
657 Views
Hope mko poa mshamba_hachekwi aliomba nipike kashata so leo morng nikaenda mjini nikatafute mahitaj yangu nikaona ufuta nikakumbuka Wakati nanunua vitu bhna si nikakutana na wamasai...
10 Reactions
36 Replies
1K Views
ephen_ aliomba nimuonyeshe jinsi ya bagia za dengu zinavyo pikwaa Nilikuwa na shughuli za hapa napale uku naangalia mpira wa yanga tukashinda uku nanyoosha Nikawa nawaza chakula jion...
20 Reactions
106 Replies
3K Views
Back
Top Bottom