Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari
Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so...
Unakwenda hotelini unaagiza labda makange nyama unaambiwa eti 15000 wakati pale nyama labda nusu tu na makange yenyewe hakuna cha ziada zaidi tu yamekaangiwa karoti hoho nyanya yaani viungo...
Wadau za leo?
Bila shaka wote tunafahamu hii bidhaa ya Microwave/Microwave Oven/Microwave Oven and Grill.
Wengi tumeizoea kuitumia kwa kupasha japo ina matumizi zaidi ya hayo..kupasha mara...
Ukifika pakistani unaweza kushangaa kongoro lilivyo tengenezwa ila hapa kwetu tokea mchaga kugundua ni mfumo ule ule tu bila kujiongeza.
Leo hii wali wa wanaijeria ni tofauti na Ghana.
Au pilau...
Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji
Wakati uho nilikuwa nimekata...
Hello
Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere
Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa
Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu
Baada ya hapo...
Awali kabisa sikujua chakula kinachoitwa biriani ila nilikuwa nasikia tu kuna chakula kinaitwa biriani. Kumbe nikaja kuambiwa kuwa nilishawahi kula kwenye sherehe na mikutano ya kiofisi...
Kuna vyombo vya kulia vyakula vyenye hadhi na visivyo na hadhi. Nadhani mna makabati ya kuwekea vyombo. Sio kila chombo kinastahili kuonekana kabatini, vinavyonekana ni vile vyenye hadhi tu...
Vyakula hupikwa ili viliwe, sio kula tu kwa kuwa una njaa na unataka ule. Kula ni kula tu sio kujaza tumbo ili ushibe. Kuna vyakula vyenye hadhi na heshima huandiliwa maalumu kwa watu maalum...
Ipo hivi.
Hizi njegere nimezibandika kuchemsha tangu saa 6 na nusu hadi saa 8 kamili, ni ngumu hazilainiki.
Huyu shemeji yenu hapendi njegere ngumu, sikuwa na jinsi nimeunga hivyo hivyo...
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote...
Hello
Leo bhna nimeamua tujifunze kutengeneza juice ya tende
Mahitaji
Maziwa
Tende
Hatua ya kwanza chukua tende zaka kama hivi
Kisha anza kutoa mbegu za tende zile zilizopo katikati kama...
Hellow
Leo bhna nilitaka kukimbia hapa sasa gafla natoka njee mh nakutana na wazee wazima hawa hapo wanakula nikasema ngoja nirudi ndani niangalia chakufanya sina mbio za kukimbiza nao ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.