Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hello Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Unakwenda hotelini unaagiza labda makange nyama unaambiwa eti 15000 wakati pale nyama labda nusu tu na makange yenyewe hakuna cha ziada zaidi tu yamekaangiwa karoti hoho nyanya yaani viungo...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau za leo? Bila shaka wote tunafahamu hii bidhaa ya Microwave/Microwave Oven/Microwave Oven and Grill. Wengi tumeizoea kuitumia kwa kupasha japo ina matumizi zaidi ya hayo..kupasha mara...
3 Reactions
36 Replies
18K Views
Ya bahati mbaya Ya kutojua Ya makusudi
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Ukifika pakistani unaweza kushangaa kongoro lilivyo tengenezwa ila hapa kwetu tokea mchaga kugundua ni mfumo ule ule tu bila kujiongeza. Leo hii wali wa wanaijeria ni tofauti na Ghana. Au pilau...
2 Reactions
2 Replies
447 Views
Hellow Leo nikapata dagaa nyasa wangoni nipo tayari kunikosoa kama nimepika sivyo Kwanza mimi nikawatoa vichwa dagaa Kisha nika waweka jikoni kuwachemsha kwanza lazima uwachemshe vinginevyo...
18 Reactions
200 Replies
6K Views
Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji Wakati uho nilikuwa nimekata...
38 Reactions
166 Replies
5K Views
Hello Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu Baada ya hapo...
38 Reactions
159 Replies
5K Views
Umewahi kununua samaki waliokaangwa wakiwa moto moto halafu ile unafika nyumbani unakuta wameoza wote. Hivi ndio leo nimeshinda njaa.
3 Reactions
17 Replies
772 Views
Awali kabisa sikujua chakula kinachoitwa biriani ila nilikuwa nasikia tu kuna chakula kinaitwa biriani. Kumbe nikaja kuambiwa kuwa nilishawahi kula kwenye sherehe na mikutano ya kiofisi...
8 Reactions
161 Replies
5K Views
Kuna vyombo vya kulia vyakula vyenye hadhi na visivyo na hadhi. Nadhani mna makabati ya kuwekea vyombo. Sio kila chombo kinastahili kuonekana kabatini, vinavyonekana ni vile vyenye hadhi tu...
4 Reactions
10 Replies
489 Views
Vyakula hupikwa ili viliwe, sio kula tu kwa kuwa una njaa na unataka ule. Kula ni kula tu sio kujaza tumbo ili ushibe. Kuna vyakula vyenye hadhi na heshima huandiliwa maalumu kwa watu maalum...
1 Reactions
13 Replies
536 Views
Ipo hivi. Hizi njegere nimezibandika kuchemsha tangu saa 6 na nusu hadi saa 8 kamili, ni ngumu hazilainiki. Huyu shemeji yenu hapendi njegere ngumu, sikuwa na jinsi nimeunga hivyo hivyo...
19 Reactions
222 Replies
5K Views
Sijisikii hamu ya kula kabisa sijui ninaumwa au vipi, mchana nikaamua nijaribu hii
12 Reactions
162 Replies
3K Views
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote...
12 Reactions
79 Replies
2K Views
Hoteli nyota 3 Ilemela Mwanza inatafuta wapishi 2 mmoja mwanamke na mmoja mwanamme. piga simu 0739290084 kwa maelezo zaidi ya kina.
1 Reactions
6 Replies
408 Views
Ndungu naombeni ushauri ni hotpot gani ambazo hazipozi kwa masaa zaidi ya 8
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Hello Leo bhna nimeamua tujifunze kutengeneza juice ya tende Mahitaji Maziwa Tende Hatua ya kwanza chukua tende zaka kama hivi Kisha anza kutoa mbegu za tende zile zilizopo katikati kama...
17 Reactions
56 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada juu ya vitu hivyo
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Hellow Leo bhna nilitaka kukimbia hapa sasa gafla natoka njee mh nakutana na wazee wazima hawa hapo wanakula nikasema ngoja nirudi ndani niangalia chakufanya sina mbio za kukimbiza nao ndio...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
Back
Top Bottom