Waheshimiwa wana jf naomba kuelimishwa kuhusu lugha zetu wanadamu hususuni watanzania wenzangu.Hapa nchini tuna makabila zaidi ya 120 na kila kabila wana lugha yao wanayoitumia kwa mawasiliano na...
Salam.
Pambana na hali yako ...Kapambane na hali yako ...Kwani si upambane tu na hali yako ?! ...Umeshindwa kupambana na hali yako ?...
Nini maana ya ukapambane na hali yako ?
Ukakwibe ? Short...
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE...
Kukicha au kukikucha?
Haya maneno yamekuwa yakitumika mara nyingi sana ila sijui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi.
1:Kukicha tu naanza safari.
2:Kukikucha tu '''''''''''’'"'''''’'''''’''...
Treat every part of your towel nicely, because the part that wipes your buttocks today will wipe your face tomorrow.
Kwa lugha yetu =
Tumia kila sehemu ya kitambaa chako vizuri, kwa sababu...
Tusaidie uhusiano uliopo baina yao,unaweza pia kutoa maelezo kidogo
"Aisha introduces John as the son of the only brother of his father's wife. How is John related to Aisha?"
Sent using Jamii...
SAYANSI YA MAPEPO.
Maharage maharage,maharage leo kala
Sharubati kawa mbege,kelele kila mahala
Twiga kaota matege,na kijipembe cha swala
Hayakua ni matusi,pale akemea pepo.
Kweli mlichokiona,ile...
Hakuna uandishi bora au andiko bora pasipo uhariri bora. Hivyo uandishi mzuri hauwezi kutengwa na uhariri bora. Ni dhahiri kuwa makala au andiko lililohaririwa vyema na kwa ustadi wa hali ya juu...
kwenye mada moja kwa moja hivi majina kama vile lusungu, lukelo, twilumba na hata anjimie hivi majina haya huweza tumika kwa aina zote mbili za binadam nikimaanisha wanaume na wanawake au...
[emoji673] Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe)
kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru!
Sahihi mtu anapokwambia *shukran*...
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana
Ila Kumbe ukienda nchi...