Habarini wadau....
Kwa muda mrefu sanaa nimekua nikipata shida sana kwenye Lugha ya Malkia hasa kwenye kuandika/kuongea wakati humu ndani kuna wadau wengi sana wanaijua lugha ya malkia vizuri...
Wasalaam wakuu
Nikiwa napita pita mitandaoni nikaona lyrics ya wimbo wa Sauti Sol short and sweet
Lyrics hiyo imetafsiriwa Kiswahili lakni ni kuangalia kwa makini maana ikawa imepotea, wimbo...
Ndugu zangu liko shairi moja niliwahi kusimuliwa zamani. Kwa bahati mbaya aliyekuwa anasimulia alikuwa mlevi mmoja na pia mimi nilikuwa mdogo sasa sikumuuliza jina la shairi wala mtunzi wake...
TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2019
Utaratibu wa Kushiriki
Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya...
Mtu mjinga ni yule ambae amekoswa maarifa kuhusu jambo ,neno au tendo fulani .
Lakini mtuhuyu anaweza kufundishwa na akaelewa na hata kubadilika
Lakini mtu mpumbavu ni yule ambae hajui kama...
Habari wana jamii forum.
Lengo la uzi huu sio kudhihaki au kejeli bali ni kutoa elimu na kukumbushana kuhusu misemo ya lugha yetu adhimu ya kiswahili.
Kama wewe ulisoma shule ya msingi kama Mimi...
Naombeni ushauri wa lugha mpya ambayo naweza kujifunza ambayo unaamini inaweza kumsaidia mtu endapo atajifunza
kwa sasa najua lugha hii nayoitumia hapa na kiingereza tu
Mademu wa dar akitaka kuja geto unamtumia nauli Na akifika geto eti baby toka njee ulipe bodaboda Na akiingia geto eti baby sijala nataka chips anapotaka kuondoka eti baby hi hela haitoshi naomba...
Siku zima likemeka Home hakuna kazi yeyote anayo ifanya ata usafi Zero kazi tu kuagizia chips na kuangalia tamthilia same time wapo kwenye social media kama insta .badoo na tinder kuwachuna mabuzi...
Mabati Cornell Kiswahili Prize for African Literature: 2019
Call for Submissions
We are pleased to call for submissions for the 5th The Mabati Cornell Kiswahili Prize for African Literature. The...
Wakuu habari!
kichwa cha habari kinajieleza.
Nilikua naangalia sherehe ya kuagwa Dr.Kimei wa CRDB,sasa alipohojiwa Mwenyekiti wa Bodi akasalimiwa heshima yako nae akajibu 'heshima yangu ni nzuri'...
Habarini; Mimi ni mtunzi nguli wa mashairi ya kiswahili. Kwa muda mrefu sana nina hamu ya kushindana na watunzi wenzangu wa mashairi, nikiwa na imani ya kushinda.
Ila sijawahi kusikia wala...