Habari wana JF
Mneno mengi yenye mwitikio has yanaanza na 'si', mfano sitaki, sipendi, sijui nk. Lakini neno sijambo ni positive acknowledgement, kwanini tusiitikie 'nijambo'?
Hebu tupeane...
Ukikiongea Kiswahili cha Kenya hadharani ukiwa Tanzania unaweza jikuta umeshushiwa kipigo heavy.
Hii lugha inawapiga chenga sana. Tuendelee kuwasaidia ipo siku wataelewa.
Jamani naomba kuuliza wahenga kuna anayestuka hata mmoja anapolisikia au kulisoma jina hili la TEKELO? na kama wapo na wanajua habari zake basi
watufahamishe ni nani na historia yake ikoje,asanteni.
Hodi hodi naingia, uwanjani kwa kishindo
Ubaraza naufagia, machafu kuweka kando
Watu wote shangilia, taratibu ndio mwendo
Tumeyachoka makato, na gharama za mabando
Piga makofi mengi kwa mshairi...
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati...
"Kunyambuka" inawezekana likawa siyo geni kwako mwanabodi, lakini Mimi kwangu ni geni .naomba ufafanuzi ndugu wataalamu wa lugha na msamiati wa Kiswahili.
Kunyambuka nyambuka, ndiyo kufanyaje...
Wadau wa lugha,
Na Mimi bwana nimebahatika kupata kashahada fulani kutoka moja ya vyuo vyetu vikongwe.
kwahiyo ka-english ka hapa na pale kakuombea maji huwa ninako. Masomo ya english secondary...
Wakuu salaam,
Katika kuendelea kukumbushana vipengele mbalimbali vya lugha katika somo hili tutaangalia Mofimu na Viambishi huku tukipitia dhana ya mzizi na shina. katika andiko hili tutaanza...
(1) All the hell broke loose-the occurance of sudden noises,fighting,arguments,etc
(2)Leave no stone unturned-doing what you can do to achieve something you want
(3) Kick the bucket-die...
Salaam Wakuu,
Leo tuendelee kujikumbushia masuala mbalimbali yanayohusu lugha. Baada ya kuangalia maana ya Virai na aina zake katika somo lililopita (Soma: Fahamu zaidi kuhusu Virai, muundo na...
Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k
Na...
Wakuu, kumekuwa na tabia ya jamii kutumia sentensi "kwa majina naitwa" au "majina yangu ni" kila kunapofanyika utambulisho. Naomba kujuzwa kama hii ni sahihi ama la. Tena hata kwenye vyombo vya...
Wadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea Kiingereza cha kuvunjika vunjika
Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa...
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.