Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari wana JF Mneno mengi yenye mwitikio has yanaanza na 'si', mfano sitaki, sipendi, sijui nk. Lakini neno sijambo ni positive acknowledgement, kwanini tusiitikie 'nijambo'? Hebu tupeane...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Ukikiongea Kiswahili cha Kenya hadharani ukiwa Tanzania unaweza jikuta umeshushiwa kipigo heavy. Hii lugha inawapiga chenga sana. Tuendelee kuwasaidia ipo siku wataelewa.
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani naomba kuuliza wahenga kuna anayestuka hata mmoja anapolisikia au kulisoma jina hili la TEKELO? na kama wapo na wanajua habari zake basi watufahamishe ni nani na historia yake ikoje,asanteni.
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Hodi hodi naingia, uwanjani kwa kishindo Ubaraza naufagia, machafu kuweka kando Watu wote shangilia, taratibu ndio mwendo Tumeyachoka makato, na gharama za mabando Piga makofi mengi kwa mshairi...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati...
17 Reactions
231 Replies
18K Views
Naomba kujua kiswahili Cha Cost Benefit Analysis Cost effectiveness Value for Money Cost effeiciency
1 Reactions
3 Replies
2K Views
"Kunyambuka" inawezekana likawa siyo geni kwako mwanabodi, lakini Mimi kwangu ni geni .naomba ufafanuzi ndugu wataalamu wa lugha na msamiati wa Kiswahili. Kunyambuka nyambuka, ndiyo kufanyaje...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale walisoma Economics sentence hii ina maana gani? "While our crystall balls are cloudy" Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa lugha, Na Mimi bwana nimebahatika kupata kashahada fulani kutoka moja ya vyuo vyetu vikongwe. kwahiyo ka-english ka hapa na pale kakuombea maji huwa ninako. Masomo ya english secondary...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu salaam, Katika kuendelea kukumbushana vipengele mbalimbali vya lugha katika somo hili tutaangalia Mofimu na Viambishi huku tukipitia dhana ya mzizi na shina. katika andiko hili tutaanza...
1 Reactions
0 Replies
24K Views
(1) All the hell broke loose-the occurance of sudden noises,fighting,arguments,etc (2)Leave no stone unturned-doing what you can do to achieve something you want (3) Kick the bucket-die...
9 Reactions
164 Replies
20K Views
Msaada, nisaidieni wapi nitumie WHO na wapi WHOM. Nachanganya sana.
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Salaam Wakuu, Leo tuendelee kujikumbushia masuala mbalimbali yanayohusu lugha. Baada ya kuangalia maana ya Virai na aina zake katika somo lililopita (Soma: Fahamu zaidi kuhusu Virai, muundo na...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
How can improve english speeking for free at home Give me a way to use
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Tafadhali sana hilo neno haliandikwi wala kutamkwa hivyo ila linasikika nna hiyo (kama kabudi alivyo litamka) wakati fulani akitoa hotuba nchini kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ncho n.k Na...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, kumekuwa na tabia ya jamii kutumia sentensi "kwa majina naitwa" au "majina yangu ni" kila kunapofanyika utambulisho. Naomba kujuzwa kama hii ni sahihi ama la. Tena hata kwenye vyombo vya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kuuliza hivi Hilo neno happy juu kwenye kichwa Cha habari Lina maana gani in Swahili?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wajuzi mniambie maana ya hi methali "Lila na fila hazitangamni"
1 Reactions
3 Replies
9K Views
Wadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea Kiingereza cha kuvunjika vunjika Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
0 Reactions
38 Replies
33K Views
Back
Top Bottom