johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,806
- 141,710
Hili neno " Magabachori" lilitumiwa sana mchungaji Mtikila RIP wakati anagombea ubunge Ludewa kwa tiketi ya Chadema baada ya kifo cha Kolimba.
Gabachori ni nani?
Maulid mubarak!
Gabachori ni nani?
Maulid mubarak!