Magabachori ndio nani?

Hili neno " Magabachori" lilitumiwa sana mchungaji Mtikila RIP wakati anagombea ubunge Ludewa kwa tiketi ya Chadema baada ya kifo cha Kolimba.

Gabachori ni nani?

Maulid mubarak!
Hivi marehemu Mchungaji Mtikila...aliwahi kuwa mwanachama wa chadema?...
 
Hili neno " Magabachori" lilitumiwa sana mchungaji Mtikila RIP wakati anagombea ubunge Ludewa kwa tiketi ya Chadema baada ya kifo cha Kolimba.

Gabachori ni nani?

Maulid mubarak!
Acha urongo. Mtikila alianza kuita Wahindi wezi Magabachori pale viwanja vya Jangwani. Wakati huo hakuwa amejiunga Chadema bado
 
Watu Kama Singasinga, Rostam Azizz na Manji wanaitumia siasa kupora pesa za umma uku uraia wao ukiwa na mashaka makubwa (wakuja)
 
ni watu wenye akili sanaa na uwezo wa kifedha lakini hawajui kuvitumia vyote hivyoo walivyonavyo
 
Mimi nijuavyo marehemu Christopher Mtikila alikuwa na chama chake. Kilikuwa kinaitwa DP (Democratic Party)
Mtikila alikuwa ni kati ya wagombea 10 wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. Katika uchaguzi huo alipata kura asilimia 0.27
Alipokufa Kolimba mchungaji Mtikila alikodishwa na Chadema akagombee ubunge Ludewa hivyo alipewa kadi ya uanachama.

Inawezekana ulikuwa mdogo wakati huo!
 
Back
Top Bottom