Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 16,403 Reaction score 42,387 Feb 7, 2023 #1 Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini.
Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 32,293 Reaction score 83,124 Feb 7, 2023 #2 Superbug said: Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini. Click to expand... Subiri Mwongozo utapata majibu yote.
Superbug said: Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini. Click to expand... Subiri Mwongozo utapata majibu yote.