{Mmoja wetu punguani, ana matobo kichwani
Alipofika duniani, mbingu purukushani
Tangu hapo tafrani, amani hapatikani,
Amani si amani, anadanganya punguani
Filosofa wa Kundavi, Dotto na wengine...
Binafsi nimechukizwa na tabia au mwenendo wa TATAKI na BAKITA kuwaaminisha wazungumzaji wa kiswahili hususani wa Tanzania kwamba kila neno la sayansi na tekinolojia lazima lipate kisawe chake kwa...
SISIMIZI!
Si mkubwa kama temba lakini ana udhia
Ni mdogo mwenye mambo Kidudu kisosikia
Ficha hata kwenye tumbo Ujue ataingi
Sisimizi kanishinda Sijui nifiche wapi.
Atambalia vitamu Vikali...
Wakuu heshima kwenu!
Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama...
Wakuu heshima kwenu!
Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama...
Wakuu, kwanini tunasikia vizuri sana kingereza cha kwenye movies kuliko mabosi wazungu ofisini???
Yaan kwenye movie, unasikia kila kitu, lakini ukikaa na bosi wa kimarekani ofisini, husikii kile...
Ndiyo ni hiyo sentensi......."Between the line", nimeona mara nyingi inatafsiriwa kwa Kiswahili
kama "Katikati ya Mstari". Je hii ni sawa kwa kuangalia maana halisi ya neno hilo kwa Kiingereza?
Au...
Nimekuwa nikisikia kuwa kulikuwa na mjadara kuwa Lugha ya taifa iwe ni kisukuma eti kwa sababu lugha hiyo imekaa vizuri na inamisamiati mingi.
Hivi ni kweli?
Kumekuwa na majina yasiyo rasmi na yasiyotambulika na umoja wa mataifa ya nchi mbalimbali ambayo yanatumika kwa wingi hapa nchini.
Mfano kama ifuatavyo;
1. Marekani (United States)
2.Uingereza(...
Wapendwa wanajf. Nasikitika kuwatarifu kuwa wajumbe wa mabaraza ya katiba waliochaguliwa wamechaguliwa bila waraka kufuatwa, kwa kuzingatia sifa halisi za waombaji na kama waraka ulivyoagiza...
Watanzania,
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa...
Tafakuri Ya Leo....
Unalalamika Taifa Lina Rushwa unasahau ulifundishwa na wanao wanafundishwa shuleni na waalimu wao
ELEZA MAANA YA METHALI ZIFUATAZO
1. PENYE UZIA...
Wadau kila siku najiuliza juu ya huyu mzee serilali yetu inawaenzi vp wazee km hawa, labda wenye ufahamu mdogo huyu mzee na wengine wengi ni magwiji wa kiswahili na ushairi.La kushangaza sijui hio...
Ni juzijuzi hapa ambapo tumeshudia Rais wa China akiongea kwa lugha yake, wakati Rais wetu anaongea Kiingereza. Hotuba hizo zilifaa wananchi wote wazielewe kupitia lugha yao ya Kiswahili. Viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.