Kama sijakosea neno udhu utumiwa na ndugu zetu waislamu,nimekuwa nikidadisi kujua maana halisi ya neno hilo bila mafanikio leo naomba wana JF mnifahamishe maana ya neno udhu katika uislam.
Nasikia harufu ya chakula inapita puani
Nahisi harufi ya wali inapita puani
Naskia harufu, hata sijui ni harufu gani?
yule jamaa umeme ulimkatikia kwao
Napenda kujua kwa anayefahamu, hivi Nchi za Kiafrika kama Kenya, Uganda, Zambia, Nigeria, Ghana Malawi n.k zinastahili kuitwa kwamba ni nchi zinazoongea Kiingereza (English Speaking Countries)...
Wadau, nimesikia kutoka kwa watu kadhaa na kusoma kwenye vyombo vya habari neno la kiingereza 'FOOD SECURITY' likitafsiriwa kuwa ni USALAMA WA CHAKULA. kwangu mimi hii si maana halisi ya FOOD...
weka mawazo yako ktk haya:
aibu ni nini?
nini chanzo cha aibu?
binadamu anaanza kuwa na aibu wakati gn?
ni kweli mtu alierukwa na akili hana aibu?
kuna namna yyt ya kumfanya asie na aibu awe na...
Kazi kubwa yako jicho, ni ngumu nai-husudu,
Nimefanya mchekecho, kwa ufundi na utundu,
Naamini nisemacho, kazi yako waimudu,
Jicho kazi yako ngumu, Leo nakusema wewe,
2. Huenda ni mpekecho...
Habari zenu wadau,
Kwa wale ambao hawalifahamu hili ni kwamba kuna mkutano ambao umekuwa maarufu sana duniani unaitwa TED(TED: Ideas worth spreading), mkutano huu unakusanya wataalamu wa kada...
kumekuwa na matumizi mabaya Sana ya hili neno "toka" hasa pale linapomuashiria mtu ahame ndani aende nje, unakuta mtu yupo ndani alafu anaambiwa "toka nje" ikimaanisha atoke ndani na aende nje...
Kuna SMS mbali mbali za busara ambazo watu hutumiana kwenye simu za mikononi zikiwa na jumbe mbali mbali za kuelemisha, kufariji, kutia moyo, kukosoa, kukejeli, kuasa, utani na vichekesho ambapo...
Ni uvivu wa mawazo au ni kitu gani? Ukimsikia mbunge akichangia bungeni, ukimsikiliza mtangazaji redioni au kwenye
tv, lazima utamsikia akisema, kimsingi........ Yaani kila mazungumzo sasa hivi ni...
>Nini chanzo cha lafudhi?
>Kwanini lafudhi ya watu wa mkoa fulani hutofautiana na mkoa mwingine?ilhali tu nchi moja
Mfano,wamakonde,wachaga,wapemba,wazaramo,wangon, wanalafudhi tofaut...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.