Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wadau wa hili jukwaa naomba kama kuna mwenye kulijua neno refu kuliko yote la kiingereza anisaidie
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama sijakosea neno udhu utumiwa na ndugu zetu waislamu,nimekuwa nikidadisi kujua maana halisi ya neno hilo bila mafanikio leo naomba wana JF mnifahamishe maana ya neno udhu katika uislam.
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Nasikia harufu ya chakula inapita puani Nahisi harufi ya wali inapita puani Naskia harufu, hata sijui ni harufu gani? yule jamaa umeme ulimkatikia kwao
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kujua kwa anayefahamu, hivi Nchi za Kiafrika kama Kenya, Uganda, Zambia, Nigeria, Ghana Malawi n.k zinastahili kuitwa kwamba ni nchi zinazoongea Kiingereza (English Speaking Countries)...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau, nimesikia kutoka kwa watu kadhaa na kusoma kwenye vyombo vya habari neno la kiingereza 'FOOD SECURITY' likitafsiriwa kuwa ni USALAMA WA CHAKULA. kwangu mimi hii si maana halisi ya FOOD...
3 Reactions
8 Replies
5K Views
Mediation in swahili tunaitaje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watalamu wa lugha glasi iliyojaa maji nusu, tunaitamkaje katika lugha ya kingereza?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naombeni tafisiri ya maneno haya- 1.Tensed" mfano:- He looks very tensed 2. Indulgence Natanguliza shukrani kwenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
weka mawazo yako ktk haya: aibu ni nini? nini chanzo cha aibu? binadamu anaanza kuwa na aibu wakati gn? ni kweli mtu alierukwa na akili hana aibu? kuna namna yyt ya kumfanya asie na aibu awe na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kazi kubwa yako jicho, ni ngumu nai-husudu, Nimefanya mchekecho, kwa ufundi na utundu, Naamini nisemacho, kazi yako waimudu, Jicho kazi yako ngumu, Leo nakusema wewe, 2. Huenda ni mpekecho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Kwa wale ambao hawalifahamu hili ni kwamba kuna mkutano ambao umekuwa maarufu sana duniani unaitwa TED(TED: Ideas worth spreading), mkutano huu unakusanya wataalamu wa kada...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Helloooo nini maana ya haramu?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada wa tafisiri ya maneno haya kwa kiswahili 1.Rhetoric- 2.Tramatize- Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
maana yake nini? uwa najiuliza sipati jibu.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
kumekuwa na matumizi mabaya Sana ya hili neno "toka" hasa pale linapomuashiria mtu ahame ndani aende nje, unakuta mtu yupo ndani alafu anaambiwa "toka nje" ikimaanisha atoke ndani na aende nje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Kuna mti unaitwa Mkurungu. Hii miti ipo kule Tabora. Kuna mtu anajua jina lake kwa kiingereza? Asante. Ben
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Wadau wa lugha, ivi hili neno ni msamiati rasmi ama ni neno lililoibuka tu kuwatambulisha waandishi wazamiaji au linaweza kutumika kwa mtu yeyote?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna SMS mbali mbali za busara ambazo watu hutumiana kwenye simu za mikononi zikiwa na jumbe mbali mbali za kuelemisha, kufariji, kutia moyo, kukosoa, kukejeli, kuasa, utani na vichekesho ambapo...
0 Reactions
3 Replies
97K Views
Ni uvivu wa mawazo au ni kitu gani? Ukimsikia mbunge akichangia bungeni, ukimsikiliza mtangazaji redioni au kwenye tv, lazima utamsikia akisema, kimsingi........ Yaani kila mazungumzo sasa hivi ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
>Nini chanzo cha lafudhi? >Kwanini lafudhi ya watu wa mkoa fulani hutofautiana na mkoa mwingine?ilhali tu nchi moja Mfano,wamakonde,wachaga,wapemba,wazaramo,wangon, wanalafudhi tofaut...
0 Reactions
51 Replies
17K Views
Back
Top Bottom