Wengine watafikiri labda nimepotea njia, hapana, ila napenda kutoa angalizo kwa wanao/watakaokwenda kuhubiri injili pande za uhayani wasije wakashutuka mara baada ya kulitaja neno lenye herufi 4...
Ninaposikiliza majadiliano bungeni baadhi ya wabunge husema: "Mh Naibu wa spika........"
na wengine "Mh Naibu spika......."
Ni addressing ipi kati ya hizo ni sahihi? Mimi nilifikiri Naibu spika...
Wazungu walivyo koswa neno "any one" wakaiba neno la kijita "ANYONE" likiwa na maana ya "namimi" huku wao wakimaanisha "yeyote" hebu twmbie kikwenukwenu wameiba neno gani?
Habari wana jf. ktk pitapita zangu nimekutana na karatasi yenye maandishi yafutayo: "mpingo ndi anthua Mulungu-gulu la anthu owomboledwa; iwo amene amadziwa ndi kumkonda mulungu. Kuyambila kale...
Tujadili hili; katika harakati, mikusanyiko au hata maandamano yasiyoruhusiwa askari watajaribu kutawanya wahusika kwa kutumia 'mabomu ya machozi? au risasi za moshi?'. Maneno yapi huenda...
Wadau ngoja niseme tu ukweli leo, hili neno la hii lugha ya kingereza "she" mi huwa najisikia vibaya sana nikilitumia au likitumiwa kum-refer MAMA yangu mzazi kwenye sentensi au mazungumzo sijui...
Mtaalamu wa masuala ya lugha, Bwana G.W. Broomfield aliandika haya mwaka 1930. Makala yake ilikuwa na kichwa: The Development of the Swahili Language.
Hebu tusome na tutafakari kama sisi Waafrika...
Habari zenu wandugu. Basi kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeamua kutaka kumwaga darasa humu jamvini kati ya lugha zifuatazo: KISOMALI, KIARABU, KIFARANSA na KITURUKI. Hii naona itasaidia...
Jaman unakuta mtu kaomba USHAURI,kaandika kwa lugha ya KISWAHILI,basi watakuja mafundi watatia mbwembwe kibao wa kuandika KIINGEREZA.Unajuaje kama mtoa mada anaelewa?Ni USHAMBA maana hata sie...
Hili lina maana gani as far as wanandoa au wapenzi wapo concerned?ni kawaida kusikia yule jamaa ana gubu..linasababishwa na nini na inawezekana kujifahamu gubu lako mapema ukalishugulikia...
Wadau wa lugha habari zenu?
Lipo hili neno wadau.Silipendi na napinga sana matumizi yake hapa JF.
Nimeona WanaJF wengi pale anaposifia kitu anasema: hatareeeee!
Je, huyu anataka kusema...
1.'Boom'(fedha za kujikimu zitolewazo na Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu kwa wanachuo/wanafunzi)
2. 'Kuuza chai'(Kupiga stori hasa za kuchekesha/au sizizo za kweli)
3.'Nyanga'(Supplementary exams)...
Hivi ni kweli wasomi wa tanzaia hawajui matumizi ya 'S' na 'X' ????sababu imekuwa desturi sasa mtu tena msomi unakuta anaandisa xaxa badala ya sasa au axante badala ya asante ,,sasa hii huwa ni...
Wana JF, Mimi Nina asili ya Bara, na maneno yanayotamkwa Kwa mkazo na hasa yenye kuanzia herufi 'ku' zinanipa hisia kuwa ni aina Fulani ya kutukana.
kwenye matangazo ya biashara ya Tigo Facebook...
Heshima mbele wakuu.
Kwa anaye fahamu maana ya jina Nyerere atufahamishe tafadhali. Nadhani ni vyema kujua maana ya jina la muasisi wa taifa letu.
ASANTENI SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.