Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi wadau neon Shurani ni la kiarbu au Kiswahili? liandikwaje shukurani au shukrani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
When do you use "vyetu"? I'm a novice in Kiswahili so it would be nice to get an explanation in English :)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KWA UFUPI Joseph: They're her cars/ they're hers. (ni magari yake (mwanamke/ni yake) Katika somo lililopita tumeona jinsi ya kuuliza umiliki kwa kutumia WHOSE. Somo la leo litajikita katika...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
KWA UFUPI Dini: Dini ilichangia ueneaji wa lugha ya Kiswahili kupitia mawaidha na mafunzo ya madrasa. Waarabu walipokuja walitaka kueneza dini ya Kiislamu katika maeneo waliyofikia. Katika...
0 Reactions
0 Replies
20K Views
Habari wakuu, Hivi kuna tofouti yeyote iliyopo kati ya Maneno TARIZI&DARIZI?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eti sandarusi ni nini na inatumika wapi?
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Naomba mnisaidie niweze kukipata Kitabu hiki cha riwaya ya Kiswahili kiitwacho ASALI CHUNGU kilichoandikwa na Prof. Said A. Mohamed. Niliwahi kuwa nacho lakini nilimwazima mtu na hakunirudishia...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
neno wowowo nilisikia miaka ya 90's nikiwa mdogo na watu walikuwa wakilitumia hivi wowowooo mchicha kabechi mbichi nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kwanini mtu hatakiwi kuandika habari kwa herufi kubwa?? Je, herufi kubwa inamaanisha nini?? Msaada.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hiki kisa kinakuja, Ukae chini tulia, Ni cha Sungura mmoja, hapa nawasimulia, Ilikuwa siku moja, njaa imemshikia, Njaa imemshikia, Sungura nawaambia! Ni Sungura yule yule, aliyezizira ndizi! Ni...
8 Reactions
21 Replies
6K Views
nilikua nauliza swali lifuatalo "umahiri wa lugha haushabihiani" jadili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Wanajamii forum nimekuwa nikisumbua kichwa kuhusiana na Uwingi wa neno chupa huku nikikabiliana na maneno mawili ambayo ni VYUPA na neno CHUPA kama uwingi! hivyo naombeni mawazo yenu katika suala...
0 Reactions
10 Replies
21K Views
kuna tofauti gani kati ya neno Utarizi na udarizi
0 Reactions
0 Replies
13K Views
naomba sana wakuu mwenye kujua maana halisi ya neno kafir anieleze ,kama hujui pita zako ,nimekuwa nikikutanaro sana hasa humu JF lakini kwa bahati mbaya sielewi maana yake
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wanaisimu naombeni majibu yenu...
1 Reactions
12 Replies
8K Views
habari jf, kuna mtu anafahamu lahaja za kipemba na kitumbatu tufahamishane
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa mda mrefu, nilikuwa nikijua kuwa tunasema "dada yangu." Lakini mda kidogo uliopita, nilikuwa nikitazama runinga ya KBC katika kipindi fulani kinachojihusisha na ukuzaji wa lugha ya Kiswahili...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Ni fundi cherehani au fundi nguo, maana nasikia wanamwita fundi cherehani wakati hatengenezi cherehani anatengeneza nguo.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni jibu
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom