Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hivi huu msemo ulitokana na nini.,? Historia yake ikoje...(yani kwa nini athumani na si jina lingine)
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wengi tumezoea kusema "nasikia harufu fulani" wakati inafahamika kwamba hatutumii masikio kutambua harufu bali pua,je ni neno gani sahihi la kuelezea hisia hii badala ya neno "nasikia"??
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Nini maana ya hili neno wakuu? Nimekuwa nikilisikia mara kadhaa likitumika katika vyombo vya habari hasa redio, lakini sijafanikiwa kupata maana yake!
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Leo siku ya Jumamosi 28/6 muda kama wa saa 5.30, nilimsikia Waziri wa Fedha Mh. Sada Mkuya aki wind up mswada wa sheria ya fedha akisema kwa kiingereza: 'I can see a huge different.....' Huu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu, mara nyingi tumekuwa tukishuhudia na kuwaona watu wenye matatizo ya:- Kuona > tunawaita vipofu, Kusikia > tunawaita viziwi, Kusema > tunawaita mabubu, Sasa hawa watu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu walimu wangu wa jukwaa hili.. kuhusiana na maneno hapo juu, je ni sahihi kuyatumia? maana ni mazoea ya watu wengi sasa nikiwemo mimi huwaga napendaga kuyatumiaga
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu Nikitaka kuuliza hivi kwa kimombo nitasemaje? Hii ni lugha yako ya ngapi? natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini? naomba mnisaidie kunipa maana ya hili neno internet cafe Kwa kiswahili
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wadau wa hili jukwaa naomba kama kuna mwenye kulijua neno refu kuliko yote la kiingereza anisaidie
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama sijakosea neno udhu utumiwa na ndugu zetu waislamu,nimekuwa nikidadisi kujua maana halisi ya neno hilo bila mafanikio leo naomba wana JF mnifahamishe maana ya neno udhu katika uislam.
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Nasikia harufu ya chakula inapita puani Nahisi harufi ya wali inapita puani Naskia harufu, hata sijui ni harufu gani? yule jamaa umeme ulimkatikia kwao
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kujua kwa anayefahamu, hivi Nchi za Kiafrika kama Kenya, Uganda, Zambia, Nigeria, Ghana Malawi n.k zinastahili kuitwa kwamba ni nchi zinazoongea Kiingereza (English Speaking Countries)...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau, nimesikia kutoka kwa watu kadhaa na kusoma kwenye vyombo vya habari neno la kiingereza 'FOOD SECURITY' likitafsiriwa kuwa ni USALAMA WA CHAKULA. kwangu mimi hii si maana halisi ya FOOD...
3 Reactions
8 Replies
5K Views
Mediation in swahili tunaitaje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watalamu wa lugha glasi iliyojaa maji nusu, tunaitamkaje katika lugha ya kingereza?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naombeni tafisiri ya maneno haya- 1.Tensed" mfano:- He looks very tensed 2. Indulgence Natanguliza shukrani kwenu
0 Reactions
2 Replies
994 Views
weka mawazo yako ktk haya: aibu ni nini? nini chanzo cha aibu? binadamu anaanza kuwa na aibu wakati gn? ni kweli mtu alierukwa na akili hana aibu? kuna namna yyt ya kumfanya asie na aibu awe na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kazi kubwa yako jicho, ni ngumu nai-husudu, Nimefanya mchekecho, kwa ufundi na utundu, Naamini nisemacho, kazi yako waimudu, Jicho kazi yako ngumu, Leo nakusema wewe, 2. Huenda ni mpekecho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Kwa wale ambao hawalifahamu hili ni kwamba kuna mkutano ambao umekuwa maarufu sana duniani unaitwa TED(TED: Ideas worth spreading), mkutano huu unakusanya wataalamu wa kada...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Helloooo nini maana ya haramu?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom