Haya bwana, naona umepata cha kuongea ahsante.............................
- UTAKIKUTA........................KI HAPA IMETUMIKA KAMA UMOJA-----YAANI IDADI
- .............
- ...............
- ................
Maoni yangu tu.....maana nimeona post imedoda
Nataka kujua "a" imetumika kama kiambishi awali cha aina gani katika neno hili apa chini
- UTAKIKUTA........................KI HAPA IMETUMIKA KAMA UMOJA-----YAANI IDADI
- .............
- ...............
- ................
Maoni yangu tu.....maana nimeona post imedoda
hapo mkuu kauliza kazi za kiambishi ki na ka
mfano. ki kinatumika kuonesha
kiambishi awali cha ngeli ya 4 umoja.
2. kiambishi kinachonesha masharti
3.kianesha kuonesha udogo wa kitu ama udogoishi mf kitoto