Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Sasa hivi kuna wanataaluma wabovu mno karibu katika kila fani: Waalimu wabovu Madaktari wabovu Wahasibu wabovu Watafiti wabovu Na komesha ni waandishi wa habari - hawa ndo naona hata shule...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani habari?,naomba msaada wa kufaham neno la kiswahili linaloishia na FO ukiachana na maneno FOFOFO na KIFO. ASANTENI
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu naomba mwenye translation ya hilo neno, nafkiria kuhusu boycotting, abstaining lakini naona hayaleti maana halisi!!!!!!!
0 Reactions
16 Replies
15K Views
Moyo wangu ewe moyo, naomba sikiza sana, Moyo ulinde unyayo, na njia zenye laana, Moyo na uwe na mbuyo, bahari ni chafu sana, Moyo sifanye uchoyo, mtoaji ni Rabana, Moyo ninasema nawe, njano...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Duniani kuna mambo mengi sana , ambayo mengine ni kama vibaya kuhadithia kwa wengine kama labda ni wenyeji wa huko au labda kama wana mahusiano na kitu hicho inakuwa mbaya haswa kwa wale...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
u-nkima nsoga og'utola abhize. 1. o-pe. 2.winikujo. 3.nfula. 4.nogu. namala. nongeje nakalyimbo. alihoi nkima namonileee. nsoga o-bhasoga udugemanijaaa. o-mino g'udiwali o-melemetaga...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
it's controversial in english gretings when we respond a question "how do you do" by "how do you do"........ example good morning sir good morning, how are you? i'm fine. how do you do? how...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
The article is too long, but you can read from the link below. I had actually argued here before that Kenyans are just as good in written Swahili but no one believed me. It turns out I was right...
0 Reactions
89 Replies
15K Views
Mara kwa mara nawaza ya kwamba hii lugha itaendelea vipi? Tayari imeharibika sana Kenya. itaendelea kwa nguvu kwa Tanzania? Itaenea Afrika Mashariki? Ama watu ya hii jumuiya watakiacha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekosa shule siku mbili, nilikuwa na msiba. Najaribu kujieleza kwa mwalim wangu wa darasa kwa kiingereza, SORRY MADAM,I WAS NOT PRESENT TWO DAYS BEFORE BECAUSE I WAS DIED. Ananicheka. Nauliza...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
maana wengine wanasema "mwanzo mwisho" na wengine wanasema "mwisho wa mwanzo" nani yupo sahihi
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mara nyingi nimejikuta nikishambuliwa na wadau kwa ajili sisi Wakenya hupenda kutumia lugha zetu za asili pamoja hata na Kingereza. Watu wengi hupenda kuniambia kwa kutokutumia Kiswahili sana, ina...
0 Reactions
57 Replies
18K Views
kwa ajuaye maana ya ruwaza za sauti
0 Reactions
6 Replies
10K Views
hello members, today I have a question concerning linguistics. as when it is referred to as a scientific study, it means that, it follows scientific procedures in solving linguistic problems. In...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Historia ya Kiswahili Maeneo penye wasemaji wa Kiswahili Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani la Afrika ya Mashariki. Neno Swahili ni neno la asili ya...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ilikuwa ni mapema miaka ya 1980 matamshi ya maneno haya ya kiingereza yalichekesha sana watu. Foreign Affairs ilitamkwa Foleni ya viazi. Petroleum Jelly ilitamkwa Petroli ya Mjeli. Kwa sasa ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nimekutana na Uzi mmoja kwenye ili jukwaa mleta uzi MAKOLE amenigusa sana nitake kujua alivyo sema [QUOTE=MAKOLE;10773 je wajua ni chuo kimoja tu ambacho kinaanza na article "THE"...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba mwenye ufafanuzi wa haya maneno anijuze tafadhali
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Waingereza walipochukua koloni la Tanganyika kutoka kwa Wajerumani, walikuta Kiswahili kimeimarika na kutumika katika utawala na maeneo mengine. Kwa kuwa nao walihitaji kutawala hivyo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Napata shida kutofautisha maneno yafuatayo japo yamezoeleka kwa kila mtu yaani HESABU NA HISABATI
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Back
Top Bottom