Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wandugu natafuta mtu wa kunifundisha Mandarin kwa hapa Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ziwe mbili au tatu, Hilo Bado mgogoto, Nina mengi nawazua, wa kunifumbua hola, Na hata akitokea, Heko yake nitampa, Ziwe mbili au tatu; Serikali Tanzania? Tume yake Warioba, Maoni ilikusanya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila lugha ina maneno fulani yanayosumbua wanaojifunza hiyo lugha. Nimegundua katika Kiingereza yapo haya maneno yanayotumiwa vibaya na baadhi ya watu kama ifuatavyo: their, there, they are...
4 Reactions
117 Replies
15K Views
Salaam wana JF! Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanajamvi manju ni nani,au ni nini?
0 Reactions
8 Replies
26K Views
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi. 1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Mambo, Ningependa kuuliza maswali kuhusi misamiati ya kutengenza magari. Mimi ni msomaji wa kiswahili lakini nimeshindwa kuwaelezea mafundi shida zangu. Kwa mfano naomba usaidizi ya kutafsiri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mwenye kujua tofauti ya KAZI na AJIRA
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Kuna jamaa yangu (research scientist) alikuja hapa nchini akafanya kazi Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. katika mambo aliyojifunza Tanzania ilikuwa ni pamoja na lugha ya kibantu ijulikanayo kama...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
Is it possible that every denomination is right? Je, inawezekana kwamba kila madhehebu ni sahihi? Au, Je, kuna ukweli kwamba madhehebu yote ni sahihi? Ni sahihi kusema madhehebu haya au hii...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Namna ya kuainisha mofimu ya neno "Alikwenda"
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Huwa nachukia sana ninaposoma na kukutana na maneno haya Lula badala ya Rula Mologolo-morogoro Foreni-Foleni Ugari-Ugali Kula-Kura Nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini kwa watu kama hawa Nashauri...
4 Reactions
86 Replies
7K Views
Jamani naomba mnijuze ugonjwa Sinus infection unaitwaje kwa kiswali? Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
19K Views
"Mkutano ulifanyiwa katika NDAKI kuu ya Chuo Kikuu". Hebu nieleze "ndaki" maana yake tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Naomba mnisaidie kuwarekebisha jamaa hawa. Wahenga walisema HABA NA HABA HUJAZA KIBABA. Kamwe, katu, katiti, abadan wahenga hawakusema "haba na haba hujaza KIBUBU". Hapana, tusiwalishe maneno...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Huu msemo unatumika sana pale mtu anapotaka kuweka taswira ya kuponda raha/maisha kwa kusema 'anakula bata'. Je, katika utamaduni wetu sisi watanzania bata ana nafasi gani? Kwa nini haikuwa kuku...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari! Karibu tujifunze lugha yetu ya Kiswahili ndugu zangu, mwenye dukuduku kuhusu maneno ya lugha ya Kiswahili uliza tujifunze.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Eti wadau wa jukwaa la lugha ni sahihi mtu kusema "ndio" au "ndiyo"??
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Hivi neno malaya huwa ni special kwa wanawake tu ama pia na wanaume?
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom