Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani kiutani coz nausikia tu na sielewi!!!
Wasikuzingue.Maana yake ni kwamba,ni watu wanaojiona wanajua kila kitu duniani.Hadi ufugaji wa ndevu.Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani kiutani coz nausikia tu na sielewi!!!
MAWEED baada ya kula weed sasaNi msemo wa majuaji yan unaeza geuzia chupi halafu mtu akakuuliza,kwanini umegeuzia chupi we mjibu KWA WATU TULIOSOMA CUBA TUNAELEWA
Nilijua ni utani kumbe ni kweli bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Weed ni sehemu ya maisha mkuu hasa asubui hii,unakandamiza kete zako 4,unamalizia na konyagi ya jana usiku,unawasha tractor unaingia harakati