fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
Watangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
Sidhani kama vyuo vya uandishi wa habari vinastahili kupewa lawama hii,me nahisi ni kutokana na uelewa wa mwanafunzi/mtangazaji mwenyewe,maana hayo masuala ya R na L tunafundishwa tangia ngazi za Shule ya msingi kabisaUtitiri wa vyombo vya habari na vyuo vya uandishi a habari visivyokidhi vigezo pamoja na kutokuwepo chombo cha kudhibiti uchafuzi wa lugha ndiyo chanzo cha hayo yote.
Mh hao kila siku wanaomba hela hazijai tu! "Changia Redio Maria".Redio omba omba