Jukwaa la Historia

On JF:

Kutoka kulia waliosimama: 1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3) 2. Nassoro kalumbanya (simba str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.) 4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia (Misheni...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndugu Wanajamii habari, karibuni sana kwenye mdahalo unaohusu historia ya Afrika ilipotoka, Ilipo na Inapoelekea. Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel...
1 Reactions
2 Replies
428 Views
Historia Fupi ya Vitukuu vya Nabii Nuhu Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu ya Biblia Mwanzo 10:1-32 Biblia imeonyesha uzao wa watoto wa Nuhu ambao ni Shemu, Hamu na Jafeti uzao ni kama ifuatavyo...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha Kama vuguvugu kutoka kwa...
4 Reactions
62 Replies
5K Views
Kuna historia zinadai kuwa Wayahudi walikuwa ni watu weusi na walipoondoka israeli mpaka wanarudi sio wayahudi wale. Ilo linathibitishwa na vitabu vingi ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mpaka leo hakuna rekodi wala kutokea kwa binadamu kutoka kwenye ndege na kuanguka ardhini na kupona. Historia hii ina muangukia mwadada Vesna Vulović.mpaka kumuingiza kwenye kitabu cha maajabu ya...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
BI. TITI MOHAMED AWAFICHUA WALIOKUWA WAKIMUONGOZA KATIKA HOTUBA ZAKE ZA KUHAMASISHA WANANCHI Makala hiyo hapo chini nimeandika baada ya kusona video fupi ya mahojiano ya Bi. Titi. Haya yaliyomo...
1 Reactions
0 Replies
742 Views
Paa la Afrika. Nilikuwa nimesikia mengi juu ya Kilimanjaro, mlima mrefu kuliko wote barani Afrika. Hali kadhalika, nilisoma mengi na kutazama picha nyingi zilizoonyesha mlima huo. Lakini katika...
2 Reactions
2 Replies
862 Views
Likely dating to between 2,200 and 2,400 years ago, the toilet — consisting of a bowl and pipes leading to an outdoor pit — was unearthed in the ruins of the palace in Yueyang City Ruins, an...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je? Air force one inasiri gani nzito inayo fanya ndege hio Ya kimarekani inayo mbeba raisi wake kuogopwa zaidi,Watu wengi wamekua na mawazo na maswali mengi kuhusu Maajabu ya ndege hii ambayo...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Historia ya Oscar Kambona:
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanganyika iko kwenye Vitabu vya historia tu na Wengi hawajawahi kuiishi Najiuliza kila siku yule Mwendazake Mchungaji Mtikila alivutiwa na nini kwenye Tanganyika isiyoonekana? Kwaresma njema!
6 Reactions
64 Replies
3K Views
Ukifungua ukurasa wa Google au YouTube kisha ukaandika John Stephen Akhwari hakika kile ambacho utakiona kitakufanya utamani kutazama mpaka mwisho. Jina la mtu huyo litajitokeza mara nyingi...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
HISTORIA YA KADI YA TANU 1954 Ndugu yangu mmoja kanirushia kadi ya TANU nami kwa kuonyesha shukurani yangu kwake namuwekea hapo chini historia ya kadi ya TANU kama nilivyoeleza katika kitabu cha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanazuoni. Naomba anayefahamu asili ya Neno Tanganyika ni ipi? Ingawa nasikia hata DRC Kuna sehemu inaitwa Tanganyika. Wazee wa zaman au wasomi wa historia msaada tafadhari
1 Reactions
4 Replies
1K Views
RASHID RAMADHANI NYEMBO NA ABDALLAH SAID KASONGO: HISTORIA YA VIJANA WA TANU NA PAFMECA 1958 Watu wengi wamekuwa wakinirushia barua ya mkutano wa PAFMECA Moshi mwaka wa 1959. Imekuwa jambo la...
1 Reactions
1 Replies
769 Views
"CHICKEN ON THE BONNET" (KUKU JUU YA BONETI YA GARI) Hawa kuku wawili nimewaona wamepanda juu ya boneti ya gari nje ya nyumba yangu. Nikawa naomba dua wasiruke hapo kabla sijawapiga picha. Picha...
6 Reactions
6 Replies
941 Views
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=pfbid0374sGVDNkm2a8JNs1ZNuExwvWLQiGzxSsfDis37Nar6iJDdSJbywdBTLFKPBFUyx9l&id=100022121633704&mibextid=Nif5oz
1 Reactions
0 Replies
390 Views
John Okello ambaye aliongoza Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa mwaka 1937 huko Uganda katika kabila la Langi ambalo pia ni la Rais wa Zamani wa Uganda Milton Obotte. Alizaliwa akiitwa John Gideon...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Itakumbukwa mnamo 1964 General Mobutu alianzisha mashambulizi huko Rusizi plain (Uvira), eneo hili lilikuwa linashikiliwa na waasi wa Simba-Mulele ,kwa usaidizi wa anga wa jeshi la Marekani...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom