APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,682
Wakorea wana historia yao toka mwanzo wataifa lao kuwepo kipindi cha devine Jumong, wazungu hivyo hivyo wana story zao, mbona sisi Waafrika hatuna hadithi zetu za mwanzo, au baada wa wazungu kututawala walichukua hadithi zetu? au wazee wetu hawakuwa na sehemu ya kuweka kumbukumbu?
Sisi hadithi tulizonazo ni kutawaliwa tu hapo wazungu kuna mambo wameyaficha, pindi tukijuwa historia yetu tutafanya revolution tutawala dunia
Story zao Mungu mweupe shetani mweusi, hatuna historia tupo tupo tu kama mtoto yatima, wametuletea magonjwa kibao ila bado tunadunda, sisi endapo tukijua Historia zetu tuta fanya mapinduzi.
Sisi hadithi tulizonazo ni kutawaliwa tu hapo wazungu kuna mambo wameyaficha, pindi tukijuwa historia yetu tutafanya revolution tutawala dunia
Story zao Mungu mweupe shetani mweusi, hatuna historia tupo tupo tu kama mtoto yatima, wametuletea magonjwa kibao ila bado tunadunda, sisi endapo tukijua Historia zetu tuta fanya mapinduzi.