Kilichofuata baada ya kupatikana uhuru ilikuwa ni kukamatwa, kuwekwa kizuizini na kuhamishwa kwa masheikh na Waislamu wengine waliodhaniwa kuwa wanapinga utawala wa Nyerere.
Mashuhuri miongoni...
Kuweka kumbukumbu sahihi..
Hakuna nchi inaoitwa Tanzania iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961, na hakuna Taifa huru duniani linaloitwa Tanzania-bara.
Nchi iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961 ni...
Wabembe ni kabila la watu ambao wanaishi katika nchi zote za Maziwa Makuu ya Afrika. Wanapatikana kwa wingi Fizi, Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia na wanaishi katika nchi tofauti kama: Kongo...
JE UMEWAHI KUJIULIZA HAYA KUHUSU MWALIMU NYERERE?
NA Comred Mbwana Allyamtu.
1-1955 mwalimu Nyerere alienda UNO kudai Uhuru kupitia article no 76 ya UN[emoji117]self determination na hii ilikuwa...
Hapa ni moja ya majengo ambayo wapigania ukombozi barani Afrika walikuwa wakiishi akiwamo Marais Mugabe wa Zimbabwe na hayati Samora Machel wa Msumbiji kama ilivyokuwa makazi ya wapigania haki...
Nimatumaini yangu kua umesha wahi kulisikia neno Levant, au kama hujawahi kulisikia, basi kama ni mfuatiliaji wa habari basi ulisha wahisikia kifupi cha neno hilo, hasa pale linapotajwa kundi la...
Fidel Castro aliitawala Cuba kama taifa lenye mfumo wa chama kimoja kwa takriban nusu karne
Tawala za kijamaa zilianguka kote duniani , lakini Castro aliendelea kupeperusha bendera nyekundu...
Najiuliza nashindwa kupata jibu, kwanini President Juvenal Habyarimana alilazimisha kurudi i Kigali licha ya kupewa taarifa za ki intelijensia juu ya uwezekano wa kutokea hatari ? Taarifa...
MWEZI Novemba mwaka 1979, Rais wa Awamu ya Kwanza wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere, alivua shati na kuvaa glovu [kiswahili kizuri, glavu] na kuingia ulingoni kuzichapa na Shirika la Fedha la...
Huyu mbabe hapo juu anaitwa CHARLES D.B KING
Katika uchaguzi unaoitwa wa kidemokrasia 1927 nchini LIBERIA jamaa alimshinda mpinzani wake THOMAS J FAULKNER kwa kura zilizokuwa nyingi kuliko idadi...
Tujifunze au kujikumbusha kwa hili kidogo kwa tusiojua kuhusu Dodoma....
ANZA...
Wazo la kuhamia Dodoma liliasisiwa na Mwalimu Nyerere mwanzoni mwa miaka ya 1970. Mwalimu alitaka kuona Dodoma...
Kwa mujibu wa nadharia ya “Nje ya Afrika”, watu wamesambaa kutoka barani Africa kwenda kokote kuujaza ulimwengu. Waafrika hawa wa sasa wamewafuata wazee wao wa kale sehemu za mbali – lakini kuna...
Hati Nesta Bob Marley aliikumbusha jamii ya Leo kuwa kbla hujaongea na boss vyote tulivyo navyo tumeona vimepotea.
(before we talk to the boss
All that we got seem lost
we must have real paid...
Taja nchi kumi za afrika na ueleze miaka zilizopata uhuru na kiongozi aliyeipatia uhuru, koloni lililowatawala na ueleze lilipata uhuru kwa njia ya amani au vita.
native Americans au red Indians hawa ndio inasemekana kuwa ni wenyeji halisi wa marekani,bado kuna maoni mengi ya wanahistoria na watafiti kuhusu watu hawa,na pia maswali mbali mbali maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.