Jukwaa la Historia

On JF:

HUYU NDO CARL PETERS ALMAARUFU "MKONO WA DAMU" ANAYECHUKIWA MNO NA WATANZANIA. Carl Peters mjerumani tapeli aliyewazuga machifu na kupoteza uhuru wao aliwahi kutamka kwamba, "kuwapa uhuru watu...
12 Reactions
42 Replies
12K Views
Habari wakuu bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada Natumaini wote tumeshasikia mengi sana kuhusu alexander the great ila kuna mambo machache yananitatiza na tusaidiane kujuzana...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Musa Keita I came into power in 1312. When he was crowned, he was given the name Mansa, meaning king. It is said that Mansa Musa had conquered 24 cities, each with surrounding districts containing...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Inafahamika kwamba binadamu wa kawaida, akizidi sana basi anakuwa na urefu wa futi 7 na hapo kila mtu anamshangaa! Hashim Thabeet, mcheza kikapu wa nchini Marekani mwenye asili ya Tanzania, ana...
9 Reactions
25 Replies
51K Views
Kila karne, hususan katika kilele cha kipindi kinchoishia '20' dunia inakumbwa na maradhi makubwa ya kufisha? Yaani namaanisha: 1120, 1220, 1320, 1420, 1520, 1620, 1720, 1820, 1920, 2020, 2120...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Dunia ina maajabu yake. Basi leo tuangalie baadhi tu ya maeneo ambayo hukufikiria kama yanaweza kuwepo duniani na utastaajabia maajabu ya Mungu katika uumbaji wake. 1. Gates of Hell Eneo hili...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wadau? Sikumbuki kama mada ya aina hii imewahi kutoka. Ila Kama Bado, nataka kuchangia na wadau kwamba, historia ya dunia tangu kuumbwa kwa ulimwengu, mtu wa karibu amekuwa akitajwa sana...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
ANTONINE PLAGUE (165 AD) daeth toll: 5 million cause: Unknown Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD) maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Makambako ni sehemu maarufu Sana hapa nchini kwakuwa ipo katika njia panda ya kwenda Mbeya, Songea na Iringa Makambako kwa Sasa inapatikana katika mkoa wa Njombe HISTORIA YAKE Kipindi cha ngoni...
13 Reactions
39 Replies
11K Views
WAMAKONDE na Wameto wa Msumbiji wanaishi katika Mkoa wa Cabo Delgado Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo na Wamakonde wa Tanzania wanaishi zaidi katika wilaya zote za Mkoa wa Mtwara ila Masasi na...
2 Reactions
17 Replies
13K Views
Samahani wadau ambao ni manguli wa historia, naomba mnipe ukweli kuhusu mwisho wa vita ya pili ya dunia na kifo cha adolph hitra na alizikwa wapi??? Nisaidieni hili
4 Reactions
50 Replies
20K Views
Mbunifu wa bunduki aina ya AK 47, iliyomuua Rais Abeid Amani Karume Mikhail Timofeyevich Kalashnikov APRILI mwaka 1972, Rais Abeid Amani Karume wa Zanzibar, aliuawa akiwa anacheza bao na...
15 Reactions
61 Replies
39K Views
Huyu ndiye Mehmet Emin Pasha ambao ni jina la kupewa...Eduard Schnitzer ndio jina lake halisi... hawa ni wenzake akiwemo Mwandishi wa habari na mtafiti...Mwingereza... Henry Morton Stanley...
4 Reactions
12 Replies
4K Views
PROF. AHMED MUHIDIN ANAMUELEZA MWALIMU NYERERE Katika maisha yangu nimekutana na watu ambao kwa muda mchache sana wa mazungumzo sikuchukua muda mrefu kutambua kuwa mbele yangu nina kisima cha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
MACHIMBO YA MFALME SULEIMAN HAYAFUI DAFU MBELE YA MACHIMBO YA PROF. AHMED MUHIDIN #21 Auz said: Hazina ya kumbukumbu aliyonayo nyumbani kwake, ana mpango wa kuiweka wazi kwa hadhira? Sent using...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
A former member of the royal staff has opened up about what the relationship between Princess Margaret and Queen Elizabeth was really like. In her memoir Lady in Waiting: My Extraordinary Life in...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
BARAZANI: Kupaa na kuanguka kwa Husni Mubarak (1928-2020) Na Ahmed Rajab JUMATANO, Oktoba 14, 1981 mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais mpya wa Misri, Husni Mubarak aliingia ndani ya ofisi ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
THEKLA MCHAURU MWANAMKE WA KWANZA KUWA MWALIMU NGAZI YA CHETI KUSINI MWA TANZANIA. Ni huko kusini mwa Tanzania maeneo ya Masasi, ambapo inapata kusimuliwa kuwa kwa kipindi chote cha Ukoloni...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Kunusurika kwenye ajali, siyo jambo jepesi na ni wale wenye bahati ya kipekee tu ndiyo wanaoweza kunusurika, yaani ajali mbaya imetokea, watu kibao wamepoteza maisha lakini wewe ukatoka ukiwa hai...
9 Reactions
16 Replies
5K Views
KUHUSU miradi ya ujenzi aliyokuwa ameanzisha, mfalme mwenye kujulikana sana alijisifu hivi wakati mmoja: “Kwenye ukigo wa Babiloni nilifanyiza ukuta wenye nguvu katika sehemu ya mashariki...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom