HIVI NDIVYO SHEIKH HASSAN BIN AMEIR ALIVYOWEZA KUIINGIZA DAAWAT – UL – ISLAMIYYA BURUNDI KUSAIDIA UKOMBOZI DHIDI YA UKOLONI WA WABELGIJI
Kwa miaka mingi historia ya Sheikh Hassan bin Ameir...
Ilikuwa siku ya ijumaa tarehe 21 Februari 2020 kiasi cha saa 4 usiku kwa saa za Malaysia wakati Mhe Balozi Asha Rose Shaaban Mtengeti-Migiro aliponipigia simu kutaka kuzungumza na mimi kuhusu...
Kwa hisani ya DW
Masuala ya Jamii
Ujerumani ilivyoanza historia ya magari
Historia ya gari ilianza 29 Januari 1886, pale mhandisi Carl Benz kutoka Mannheim alipowasilisha ombi la kupatiwa kibali...
SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA BENARD MEMBE ''WAKOROFI'' NDANI YA TANU 1958 NA CCM 2020
Ilikuwa baada ya L'Asr siku nilipokwenda nyumbani kwa Sheikh Haidar Mwinyimvua katika wanachama wa mwanzo wa...
Umuhimu wa Tanzania strategically:
1) Ni nchi muhimu kwa waarabu (Misri na Sudan Kaskazini) kwasababu sehemu kubwa ya ziwa Victoria iko TZ na sehemu kubwa ya maji ya mto Nile yanategemea ziwa...
UMUHIMU WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA SYKES KATIKA KUIJUA HISTORIA YA MWALIMU NYERERE, TAA NA TANU (2)
Ndani ya nyaraka hizi nikasoma historia ya Kasella Bantu katika ujana wake akiwa masomoni...
UMUHIMU WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA SYKES KATIKA KUIJUA HISTORIA YA MWALIMU NYERERE, TAA NA TANU 1
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika hotuba yake maarufu ya kuwaaga wazee wa...
MSIKITI WA MFALME MOHAMED WA SITA
Naangalia picha ya msikiti uliojengwa ndani ya viwanja vya Kinondoni Muslim School akili yangu inarudi nyuma hadi miezi ya mwisho ya mwaka wa 1968.
Mwaka wa...
HATUJACHELEWA KUIWEKA SAWA HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Hiyo picha hapo chini ni 1955/56 Dodoma Railway Station kushoto ni Iddi Faiz Mafungo, Sheikh Mohamed Ramiya, Julius Nyerere...
Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la...
1. John F Kennedy 1963
2. Martin Luther King 1968
3. Patrick Lumumba 1961
4. Malcolm X 1968
5. Robert Kennedy 1968
6. Tom Mboya 1969
7. Gama Pinto 1965.
Miaka ya 60's ilitokea mauaji ya viongozi...
TANU and the Chagga People:
In the local field of Chagga politics, however the break came earlier. It did not come from TANU branches as such which, though they had started in 1955 on the...
Jina lake halisi lilikuwa Johnstone Kamau wa Ngengi. Alipewa jina la utani ambalo ni Mkuki wa Moto (Burning Spear). Jina la Kenyatta lilitokana na mkanda aliopenda kuuvaa ambao ulitengenezwa kwa...
MWAKA MPYA 2020 NA KITABU KIPYA
‘’THE SCHOOL TRIP TO ZANZIBAR’’
Na Mohamed Said
Tunauanza mwaka mpya kwa kuingiza kitabu kipya nchini katika orodha ya vitabu vilivyoandikwa na Watanzania...
Yaa Nana Asantewaa anajulikana sana kwa mchango wake wa kishujaa katika vita vya Kiti cha Dhahabu. Alikuwa mwanamke mwenye nguvu, na ujasiri wa kufanya yale aliyoyaona kwake sawa.
Yaa Asantewaa...
NOVEMBER 14, 2012
Baba wa taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere [1922-1999]
HAYA NI MAMBO 11 ALIYOYAPINGA BABA WA TAIFA-MWL. NYERERE
Ni miaka kumi na tatu sasa imepita tangu mzee wetu...
Robert Mangaliso Sobukwe alizaliwa mjini Graaff-Reinet, Eastern Cape Province nchini Afrika ya Kusini mwaka 1924. Alijiunga na siasa za ANC mwaka 1948. Baada ya kuhitimu shahada ya kwanza katika...
Hayati Rajab Mbhano alikuwa Mbunge wa wakati huo Kigoma mjini, Mh. Chrisant Mzindakaya ndo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kipindi hicho.
Nasikia walikorofishana na kutishiana na baada ya muda...
PICHA YA ALLY SYKES BADALA YA ABBAS SYKES PICHA YA SAID CHAMWENYEWE ''HAJULIKANI.''
Siku moja nadhani katika miaka ya 1980 nimemtembelea Ally Sykes ofisini kwake akaitisha file kutoka kwa katibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.