Jukwaa la Historia

On JF:

Mwandishi Wetu|RAIA MWEMA,Toleo la 263 |17 Oct 2012 WATAFITI wengi wamejaribu kuelezea kwa kina Julius Nyerere alikuwa binadamu wa aina gani, lakini baadhi yao wanaamini...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Nipo Google natafuta lilipo sanamu la Henry Ford, napewa majibu kuwa lipo mji mdogo wa greenfield, Michigan mahali yalipo Makumbusho yake. Bado najichanga nifike ilipo lala akili kubwa ya magari...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tanganyika takribani karne 4 zilizopita haikuwa na mwenyewe, haikukalika and was purely a virgin land same goes to Namibia (South West Africa) and Cameroon. The secret behind this ni sababu ya...
4 Reactions
105 Replies
11K Views
ALLY SYKES, PETER COLMORE, ALBERT ROTHSCHILD NA OSCAR KAMBONA Fred Nyaluchi ni kijana ambae ameonyesha hamu kubwa sana ya kutaka kujifunza historia ya uhuru wa Tanganyika. Kwa kauli yake anasema...
5 Reactions
74 Replies
11K Views
TANU Youth League ya Tabora chini ya uongozi wa Abdallah Said Kassongo ilikuja kuwa tawi hodari sana na lenye mipango mikubwa Tanganyika nzima. Kassongo na wanachama wengine wa TANU Youth...
7 Reactions
6 Replies
3K Views
Salim alikuwa hapendi tule kwenye migahawa yenye vyakula vya Kizungu na siku zote akinipeleka migahawa ya Kihindi na kuna mgahawa mmoja akiupenda sana. Mwenye mgahawa huu alikuwa Mzanzibari ambae...
9 Reactions
13 Replies
46K Views
karne ya 20 inakumbukwa hasa kwa dhuluma za kidini zisizowahi kutokea: hasa Ukomunisti, ulioteka Urusi ukaenea polepole hadi kutawala theluthi moja ya binadamu wote, ulipiga vita dini kwa namna...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Sheik Saleh Al-Fawzan is a well-known scholar, leading Saudi Government cleric, and prolific author of the country’s religious curriculum. He believes Islam advocates slavery. Al-Fawzan argues...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwaheri compañero Ernesto Cardenal -Mwana mapinduzi aliyekuwa tayari kutokubaliana na Kanisa kusimamia alichokiamini NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Maisha yake yote alijitolea walio wengi, watu...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
ALI MSHAM NA TAWI LA TANU LA MTAA WA JARIBU DUA YA KUMUOMBEA NYERERE SAFARI YA KWANZA UNO 1955 Picha hiyo na maelezo yake nimerushiwa na mmoja wa wasomaji wa makala zangu za historia ya TANU na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
SIKU MOJA NA PROF. TAJI AHMED MUHIDIN RAFIKI MKUBWA WA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Hakuna mwanafunzi wa marehemu Prof. Haroub Othman ambae hakupata kupewa rejea za Prof. Ahmed...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Hussein Amin Bicar 1913-2002 Hussein Amin Bicar alizaliwa mwaka 1913 huko Alexandria Misri. Baada ya kuhitimu masomo yake 1934 alianza kazi yake ya sanaa kuwa moja ya walimu wakubwa wa sanaa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Utakumbuka kisa cha ajali ya ndege iliyotokea mwaka 1972 iliyoanguka Amerika ya Kusini kwenye milima ya barafu ya Andes iliyo Argentina na Chile, kati ya abiria na waendeshaji 50 wakiwemo...
26 Reactions
70 Replies
13K Views
WABENA ni kabila la kibantu linalopatikana katika eneo la Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania wilaya ya Njombe mkoa wa Iringa. Lugha yao inaitwa Kibena na makao yao makuu yanaitwa Ubena. Makao...
13 Reactions
45 Replies
43K Views
Perpetua alizaliwa huko Tunis (Mji mkuu wa Tunisia) Afrika ya Kaskazini mwaka unaokadiriwa kuwa wa 182, alizaliwa katika familia ya kitajiri, yenye kuheshimika sana, baba yake alikuwa ni mpagani...
8 Reactions
51 Replies
9K Views
Tarehe 12 January 1964 ni siku itakayoendelea kukumbukwa kama siku ya mwisho ya ukomo wa utawala wa KiSultani visiwani Zanzibar. Kuna mambo mengi ambayo hayakuwekwa wazi kuhusiana na mapinduzi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika gazeti la Hoja (Ijumaa, Novemba 15 – 21, 2019), kuna makala ‘’Mufti Zubeir alivyoikarabati BAKWATA,'' iliyoandikwa na Hemed Kimwanga. Makala hii ingepita kama makala nyingine yeyote ile...
16 Reactions
142 Replies
16K Views
NYERERE KATIKA MACHO YA PROFESA AHMED MUHIDIN Gazeti la Raia Mwema Machi 25 - 31, 2020 wamechapa makala ya Prof. Ahmed Muhidin akimzungumza Mwalimu Julius Nyerere. PROF. AHMED MUHIDIN ANAMUELEZA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MAJINA YA KINYAKYUSA NA MAANA YAKE. LUSAKO. BAHATI LUSAJO. BARAKA LUGHANO. UPENDO LUTENGANO. AMANI LUSEKELO. FURAHA LUSUBILO. TUMAINI TUPOKIGWE. TUMEOKOLEWA TUPOKE. TUOKOE MPELI. MUUMBA NTULI...
13 Reactions
102 Replies
65K Views
Interesting history! They used to use urine to tan animal skins, so families used to all pee in a pot & then once a day it was taken & sold to the tannery. If you had to do this to survive you...
1 Reactions
2 Replies
919 Views
Back
Top Bottom