Jukwaa la Historia

On JF:

Ukipita Tanzania unakutana na barabara na mitaa zikiwa na majina ya magwiji kibao wa Afrika. Si nadra kukuta majina kama Kenyatta rd, Rwagasore, Mandela, Azikiwe, Nyerere, Nkurumah nk . Kitu cha...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Western Reactions To Benin Bronzes This Video Shows ANOTHER INCREDIBLE CIVILIZATION On The Continent Of Mother Africa. BEFORE The Neanderthal Demonic Beasts Created THE GUN. It Was Their Guns...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Ndugu zangu, Ni kweli historia ndio mhimili wa usuli wa taifa lolote. Tumesoma na kufunzwa mengi kuhusu, Nyerere, lakini pia tumechokonoa mengi kuhusu Kambona. Je, hivi leo, najiuliza, kama...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
KUMBUKUMBU: ALLY SYKES (1926 - 2013) MWANA SAIGON KASOMEWA KHITMA AKIWA BAHARINI ANAELEKEA VITANI BURMA Leo imetimu miaka saba toka mzee wetu Bwana Aly Sykes alipofariki tarehe 19 May 2013 mjini...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Josiah Mwangi Kariuki, almaarufu kama J.M Kariuki. Mwanaharakati na mwanasiasa na maarufu, aliyekaa gerezani kama mwanachama wa Mau Mau, kundi ambalo lilikuwa limepigania uhuru wa Kenya mnamo...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Morning friends! Basi, mwaka mmoja Mwalimu alifanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara. Jioni ya siku ya kwanza baada ya shughuli za mchana kutwa akarudi kupumzika pale Shangani, Ikulu...
10 Reactions
52 Replies
9K Views
Mchezo wa Masubwi (ndondi) ni moja kati ya michezo mikubwa na yenye umaarufu mkubwa dunia kote, lakini mchezo huu ni marufuku kuchezwa katika visiwani Zanzibar. Je ni kwanini? mchezo huu...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ni mkazi, mzaliwa na mwenyeji wa mkoa wa Tabora kutokea sehemu za Igalula Mkoani kwetu kuna hili jina la RUFITA: Jina hili limedhihiri katika maeneo/vitu vitatu kwa miaka mingi sana. Kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mchawi mpatie mwanao amlee, kauli ina ukakasi hii. Ndio hatomuua, lakini je akimfundisha uchawi mtoto huyo na kuja kuwa balaa kwenye nyumba yako?. Kuna wachawi wameokoa watu na kupata tuzo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
MUSA KWIKIMA NA UJAJI WA MAHAKAMA KUU KWA MARA YA PILI 1983 Marehemu Musa Kwikima aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu baada ya kutolewa kwenye nafasi hiyo na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Kama tunavojua leo ni siku ya maadhimisho ya sherehe za muungano wa Tanzania. Muungano huu unajumuisha pande mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika. Vijana wengi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunaendelea wanajamvi! Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
SADIKI NA CHITEMO Sadiki ni mtoto anayeishi karibu na Ujiji. Anaye ndugu yake aitwaye Sikiri. Sadiki na Sikiri husoma katika shule ya Businde. Sadiki anafanya...
12 Reactions
60 Replies
31K Views
Je, wajua, Jeshi la Polisi Tanzania lilipoanzishwa mwaka 1919, Makao Makuu ya Jeshi hilo yalikuwa Wilayani Lushoto, Tanga, hadi mwaka 1930 yalipohamishiwa Dar es Salaam. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kaka Francis ahsante kwa kutukumbusha kuhusu Siku ya Vitabu. Ilikuwa mwaka wa 1957 nina umri wa miaka 5 nimekwenda sokoni na mama yangu Bi. Mwanaidi bint Sheikh Mohamed Mvamila. Mlango aliopita...
6 Reactions
18 Replies
4K Views
Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
MTOTO DAISY SYKES BURUKU ANAVYOMKUMBUKA BABA YAKE ABDULWAHID SYKES 1950s ''...nyumbani kwetu milango ilikuwa wazi siku zote kwa wageni. Hivi ndivyo tulivyokuwa na wageni kutoka kila kabila...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Huyu bwana miaka mingi ya nyuma alipata kesi iliyovuma sana hapa nchini. Wakati huo akiitwa "jasusi wa kwanza Tanzania" nakumbuka alifungwa lakini sikumbuki ni miaka mingapi. nilikua mdogo...
8 Reactions
53 Replies
21K Views
Back
Top Bottom