Ukipita Tanzania unakutana na barabara na mitaa zikiwa na majina ya magwiji kibao wa Afrika. Si nadra kukuta majina kama Kenyatta rd, Rwagasore, Mandela, Azikiwe, Nyerere, Nkurumah nk .
Kitu cha...
Western Reactions To Benin Bronzes
This Video Shows ANOTHER INCREDIBLE CIVILIZATION On The Continent Of Mother Africa. BEFORE The Neanderthal Demonic Beasts Created THE GUN. It Was Their Guns...
Ndugu zangu,
Ni kweli historia ndio mhimili wa usuli wa taifa lolote. Tumesoma na kufunzwa mengi kuhusu, Nyerere, lakini pia tumechokonoa mengi kuhusu Kambona. Je, hivi leo, najiuliza, kama...
KUMBUKUMBU: ALLY SYKES (1926 - 2013) MWANA SAIGON
KASOMEWA KHITMA AKIWA BAHARINI ANAELEKEA VITANI BURMA
Leo imetimu miaka saba toka mzee wetu Bwana Aly Sykes alipofariki tarehe 19 May 2013 mjini...
Josiah Mwangi Kariuki, almaarufu kama J.M Kariuki. Mwanaharakati na mwanasiasa na maarufu, aliyekaa gerezani kama mwanachama wa Mau Mau, kundi ambalo lilikuwa limepigania uhuru wa Kenya mnamo...
Morning friends!
Basi, mwaka mmoja Mwalimu alifanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara. Jioni ya siku ya kwanza baada ya shughuli za mchana kutwa akarudi kupumzika pale Shangani, Ikulu...
Mchezo wa Masubwi (ndondi) ni moja kati ya michezo mikubwa na yenye umaarufu mkubwa dunia kote, lakini mchezo huu ni marufuku kuchezwa katika visiwani Zanzibar.
Je ni kwanini? mchezo huu...
Mimi ni mkazi, mzaliwa na mwenyeji wa mkoa wa Tabora kutokea sehemu za Igalula
Mkoani kwetu kuna hili jina la RUFITA:
Jina hili limedhihiri katika maeneo/vitu vitatu kwa miaka mingi sana. Kuna...
Mchawi mpatie mwanao amlee, kauli ina ukakasi hii. Ndio hatomuua, lakini je akimfundisha uchawi mtoto huyo na kuja kuwa balaa kwenye nyumba yako?. Kuna wachawi wameokoa watu na kupata tuzo...
MUSA KWIKIMA NA UJAJI WA MAHAKAMA KUU KWA MARA YA PILI 1983
Marehemu Musa Kwikima aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu baada ya kutolewa kwenye nafasi hiyo na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa...
Habari zenu wana JamiiForums,
Kama tunavojua leo ni siku ya maadhimisho ya sherehe za muungano wa Tanzania.
Muungano huu unajumuisha pande mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika.
Vijana wengi...
Tunaendelea wanajamvi!
Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi...
SADIKI NA CHITEMO
Sadiki ni mtoto anayeishi karibu na Ujiji. Anaye ndugu yake aitwaye Sikiri. Sadiki na Sikiri husoma katika shule ya Businde. Sadiki anafanya...
Je, wajua, Jeshi la Polisi Tanzania lilipoanzishwa mwaka 1919, Makao Makuu ya Jeshi hilo yalikuwa Wilayani Lushoto, Tanga, hadi mwaka 1930 yalipohamishiwa Dar es Salaam.
Sent using Jamii Forums...
Kaka Francis ahsante kwa kutukumbusha kuhusu Siku ya Vitabu.
Ilikuwa mwaka wa 1957 nina umri wa miaka 5 nimekwenda sokoni na mama yangu Bi. Mwanaidi bint Sheikh Mohamed Mvamila.
Mlango aliopita...
Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo...
Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu...
Miaka ya 2000, msanii wa mtindo wa Hiphop kutoka Marekani #Nas alitamba kwa nyimbo ya i can. Nyimbo ambayo iliimbwa na inaimbwa na wengi pale tu wanapositia mdundo au kuskia kiitikio chake kitamu...
MTOTO DAISY SYKES BURUKU ANAVYOMKUMBUKA BABA YAKE ABDULWAHID SYKES 1950s
''...nyumbani kwetu milango ilikuwa wazi siku zote kwa wageni.
Hivi ndivyo tulivyokuwa na wageni kutoka kila kabila...
Huyu bwana miaka mingi ya nyuma alipata kesi iliyovuma sana hapa nchini. Wakati huo akiitwa "jasusi wa kwanza Tanzania" nakumbuka alifungwa lakini sikumbuki ni miaka mingapi.
nilikua mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.