Jukwaa la Historia

On JF:

Nikijibu maswali niliyopokea kuhusu kitabu cha wasifu wa Mwalimu Nyerere: Abdul Katalango kuwa na ustahamilivu kwani kazi yeyote ya mikono ya binadamu haiwezi kukosa kasoro. Hawa waandishi ni wa...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
DAISY SYKES BURUKU REMEMBERS ''...the open door policy prevailed at our home. Which is how we always had visitors of all races, caliber and background. But what has really stayed within my...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Polisi wa mji wa Old Orchard, Chicago US waliinunua gari hii mwanzoni mwa miaka ya 1980 kabla ya baadae kumuuzia mwanaume mmoja kwa matumizi binafsi baada ya kuona wameanza kutoielewa gari hio...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Mzee Dossa Aziz Ally wakati wa uhai wake alikuwa mtu mwenye utu, upendo, mkarimu, mwenye subra, mtulivu, mwenye imani,aliyejaa amani, mpenda haki, aliyetetea usawa akaishi salama. Uzalendo wake...
10 Reactions
29 Replies
8K Views
Hitler’s antisemitism. Why did he hate the Jews?Antisemitism played a major role in Adolf Hitler’s thinking and in the Nazi ideology. Read here what inspired Hitler's hatred of Jews and what life...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Ahmed Rajab TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Carl Peters (27 Septemba 1856 - 10 Septemba 1918), alikuwa mtawala wa kikoloni wa Ujerumani, mvumbuzi, mwanasiasa na mwandishi na muasisi mkuu wa koloni la Ujerumani la Afrika Mashariki (sehemu ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Ahmed Rajab TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi...
8 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa mara ya kwanza paka huyu aliyekuwa na rangi nyeusi na nyeupe alikuwa anamilikiwa na mwanajeshi wa Ujerumani Bismarck, na alikuwepo katika safari ya meli ya Ujerumani ya mei 18, 1941 wakati...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Jean-Paul Charles Aymard Sartre Mwandishi na mwanafalsafa kutoka nchini Ufaransa aliwahi kuandika kumuhusu Ernesto "Che" Guevara, kwamba; “ not only an intellectual but also the most complete...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
K’naan (KEINAN ABDI WARSAME) ni msanii kutoka CANADA na pia ni mzaliwa wa SOMALIA mjini Mogadishu. Watu wengi wanamtambua kwa nyimbo yake maarufu ya waving flag ambayo aliitunga kwaajili ya...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
SAFARI YAKE YA KWANZA NJE YA NCHI By Livino Ngalimitumba Haule (Lingaha) Nelson Mandela akiwa mwanaharakati wa kupigania uhuru wa watu weusi wa Afrika Kusini toka kwa serikali ya 'mkaburu.'...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
SHEIKH HASSAN BIN AMEIR (1880 - 1979) NA WAISLAM WA BURUNDI ''Waislam walipoona juhudi zao zote hizi zinagonga ukuta wakaona waombe msaada kwa kutoka kwa ndugu zao Waislam wa Tanganyika kupitia...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Kaisari Nero anajulikana kwa ukatili mkubwa aliowafanyia watu alikuwa akiogopwa Sana na watu wake Kaisari Nero Kwanza alimuua mama yake afu akamuua mke wake .mwaka 64 A.D. alisabisha Moto...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Abishai alikuwa mtoto wa Seruya dada yake Daudi. Pia alikuwa kaka wa Yoabu na Asaheli. Abishai ni moja kati ya wale mashujaa watatu ambao walikuwa mashuhuri kuliko wale thelathini. Katika Biblia...
8 Reactions
14 Replies
5K Views
Mchungaji maarufu duniani anayetokea katika taifa la Nigeria TEMITOPE BALOGUN JOSHUA alimaarufu kama TB JOSHUA ameamua kufunga na kupanda milimani kwa ajili ya maombi maalumu kuombe janga la...
3 Reactions
67 Replies
8K Views
Je, wajua kuwa Japan wanalo onyesho la uume 😌 maonyesho haya yanajulikana sana kama "KANAMARA MATSURI" ikimaanisha onyesho la kuiba uume huwa yanaonyeshwa kila mwaka mwanzoni mwa mwezi wa nne kila...
11 Reactions
34 Replies
11K Views
Huku tukiendelea kujikinga na Corona nimeona kidogo tujikumbushe historia kidogo ya hii Vita maarufu huko barani ulaya .chanzo Cha Vita ni kushindwa kwa mkutano wa amani(An important cause of the...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakati wa uhai wake Kim Jong-il baba mzazi wa Kim Jong-Un, Kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini alioa wanawake wawili ambao ni Hong Il-chon na Kim Young-sook. Lakini aliishi kinyumba na wanawake...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom