Jukwaa la Historia

On JF:

Wakati wa uhai wake Kim Jong-il baba mzazi wa Kim Jong-Un, Kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini alioa wanawake wawili ambao ni Hong Il-chon na Kim Young-sook. Lakini aliishi kinyumba na wanawake...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari zenyuu wakuu Matumaini yangu mko wazima wa afyaa Tukiwa tunasubiri uzinduzi wa kiwanda kingine Moja kwa moja kwenye mada:Leo katika kusikiliza idhaa ya kiswahil Dw, (Dunia yetu leo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mnamo tarehe 26 Aprili, 1964 kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (inayojumuisha Visiwa vya Pemba na Unguja). Tanganyika ilikuwa ni...
1 Reactions
3 Replies
13K Views
#HISTORIA Ya Afrika Ina Mengi Sana, Moja Ya Maandiko Ni Juu Ya Ujio Wa Jamii Za Kigeni, SEWA HAJJI Ni Mmoja Kati Yao Ni Mtu Pekee Aliyethamini Utu Wa Mtu Ambae Hakujali Dini Au Rangi Ya Mtu...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Ilikuwa kama ni sheria nyumbani kwetu kuwa chakula cha jioni tujumuike sote kula na baba mezani na si kama nyumbani kwetu kulikuwa na watu wengi. Mtoto nilikuwa mimi peke yangu na ikiwa hakuna...
11 Reactions
19 Replies
6K Views
Kuchunguza 'janga la kicheko' la 1962 "Utafiti wa Christian F. Hempelmann." Katika maadhimisho ya miaka 40 ya Mlipuko wa Kucheka kwa Tanganyika ya mwaka wa 1962, mgombea wa udadisi wa lugha ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimetizama film hiyo ya Thomas Sankara baada ya kuchukua hatua alizozichukua ikiwemo kufuta matumizi ya magari ya kifahari,kujikita katika kilimo,afya michezo haki za wanawake na mambo mengine...
3 Reactions
174 Replies
62K Views
If historians have to remember the main feature of Primitive Communalism during stone age and some eras of ion age, is that man failed to master his environment. He depended on the sorroundings...
1 Reactions
1 Replies
805 Views
Hapa duniani imezoeleka watu wabaya kufananishwa roho zao na wanyama ni kawaida utasikia “fulani ana roho ya kinyama sana” lakini je wafahamu kuna binadamu wana roho ya kikatili kuliko wanyama...
3 Reactions
36 Replies
8K Views
Siku zote tumekuwa tukisoma historia ya mtu mweus, vitabu vingi vimeelezea historia ya mtu mweus walau kidogo tumesoma historia ya Waarabu. Je, ushawahi kujiuliza kuhusu wazungu: - Wametokea...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Alcatraz lilikuwa gereza hatari na maarufu zaidi Nchini Marekani. Hapa ndipo nyumbani kwa watukutu walioshindikana wa Marekani miaka hiyo. Alcatraz inapatikana katika jimbo la California kwenye...
18 Reactions
26 Replies
6K Views
KUMBUKUMBU YA KUMBUKUMBU YA KARUME DAY MAHOJIANO: "THE MASTERMIND" MAHOJIANO NA IRENE KILENGA AZAM TV MORNING TRUMPET 2015 Tuanze na picha ya Mzee Karume akiwa na vijana wa mji wa Dar es Salaam...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hi Guys! Kuna mimea ya aina nyingi na kila mmea unatabia zake tofauti tofauti kama vile tulivyo sisi binadamu au viumbe wengine. Mimea na yenyewe ina hisia na inasikia joto au baridi kama viumbe...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
ULIWAHI KUSIKIA HII? Pichani ni Kengele ya Umeme Inayopatikana Katika Maktaba ya Oxford, Inafahamika kwa jina la OXFORD ELECTRIC BELL wengine huiita CLARENDON DRY PILE. Kwa Mara ya kwanza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ugonjwa huu uliwai kuibuka duniani mwaka 1918 ambapo uliua watu takribani milioni 50 duniani, ulikuwa unaitwa Flu Influenza epidemiki H1 N1 ambapo wanasema ulianzia Uhispania na China baadaye...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
KILA mwanaume anaweza kupata mwanamke, akawa mpenzi, mke, mama wa watoto wake na wakajenga familia. Hata hivyo, kupata mwanamke wa maisha, inahitaji mwongozo wa Mungu. Kila mwanamke anaweza...
24 Reactions
35 Replies
7K Views
Mnamo miaka ya 1988 Mkoa wa Kagera ulikumbwa na janga la UKIMWI, wakati huo hakukua na elimu yoyote juu ya maambukizi na jinsi ya kujikinga, hakukuwa na kindomu hata watu waliotahiliwa walikuwa...
6 Reactions
40 Replies
9K Views
KABURI LA BI. TITI MOHAMED, KISUTU Siku tatu hizi zimekuwa ngumu sana kwangu na naamini na kwa wenzangu wengi tuliokulia Dar es Salaam kwa kuondokewa na wapenzi wetu. Juzi nikiwa nimesimama...
8 Reactions
23 Replies
8K Views
Marehemu Ndugu Edward Moringe Sokoine alizaliwa tarehe 01.08.1938. Alifariki tarehe 12 Aprili 1984 katika ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Wami-Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Back
Top Bottom