Ishinde Hofu

Konzo Ikweta

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
735
1,464
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na fanya kitu).

Kuna Hofu kubwa mbili zitakufuata kila siku unapoamka asubuhi:

1) Hofu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo yajayo *(The Fear of Uncertainty).*

Hofu hii inawafanya watu washindwe kuchukua hatua kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wa watakachokifanyaWanajiuliza-Nikiongea naye akikataa je, nikienda wasiponikubali, Vipi nisipopata matokeo ninayotarajia? Kwa sababu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo mtu anajaa Hofu na anajikuta akiwa katika *“Freezing state”-* Hachukui hatua yoyote ile. Kumbuka UKIOGOPA KUFANYA kwa sababu hauna UHAKIKA utabakia ulivyo, AMUA Kufanya na uwe tayari kukabiliana na MATOKEO yatakayojitokeza.Mabaya mengi unayohofia kuwa yatatokea huwa mara nyingi hayatokei, USIHITIMISHE kabla HAUJAFANYA.

2) Hofu ya Mabadiliko *(Fear of Change)*

Hofu hii inatokana na mtu kutokuwa tayari kubadilisha kile alichokizoea. Watu wengi huwa wanaona hakuna maisha mengine nje ya walichonacho kwa sasa.
Wanaona wakipoteza kazi ya sasa kama watakufa, wakipoteza mtu fulani kama ndio mwisho wa dunia, wakibadilishwa cheo wanahisi kama pumzi itakata n.k wamejiaminisha kuwa hawawezi kufanikiwa nje ya WALIPO na WANACHOFANYA kwa sasa.
Sio kweli: Unaweza kufanikiwa tena hata kwa ZAIDI katika Kitu kingine tofauti na unachofanya sasa, usiogope KUBADILISHA.

Leo anza siku yako kwa kujivika UJASIRI na kufanya UAMUZI kuwa HAUTARUHUSU HOFU ikushinde. Kumbuka una uwezo Mkubwa ndani yako KUSHINDA Hofu inayokukabili, USISUBIRI hadi siku iende sana: ISHINDE HOFU MAPEMA LEO kwa KUCHUA HATUA bila KUCHELEWA. Nasubiria habari njema kutoka kwako.

Anza siku yako kwa FURAHA na KUJIAMINI, uishinde Hofu.

Nanauka
 
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na fanya kitu).

Kuna Hofu kubwa mbili zitakufuata kila siku unapoamka asubuhi:

1) Hofu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo yajayo *(The Fear of Uncertainty).*

Hofu hii inawafanya watu washindwe kuchukua hatua kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wa watakachokifanyaWanajiuliza-Nikiongea naye akikataa je, nikienda wasiponikubali, Vipi nisipopata matokeo ninayotarajia? Kwa sababu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo mtu anajaa Hofu na anajikuta akiwa katika *“Freezing state”-* Hachukui hatua yoyote ile. Kumbuka UKIOGOPA KUFANYA kwa sababu hauna UHAKIKA utabakia ulivyo, AMUA Kufanya na uwe tayari kukabiliana na MATOKEO yatakayojitokeza.Mabaya mengi unayohofia kuwa yatatokea huwa mara nyingi hayatokei, USIHITIMISHE kabla HAUJAFANYA.

2) Hofu ya Mabadiliko *(Fear of Change)*

Hofu hii inatokana na mtu kutokuwa tayari kubadilisha kile alichokizoea. Watu wengi huwa wanaona hakuna maisha mengine nje ya walichonacho kwa sasa.
Wanaona wakipoteza kazi ya sasa kama watakufa, wakipoteza mtu fulani kama ndio mwisho wa dunia, wakibadilishwa cheo wanahisi kama pumzi itakata n.k wamejiaminisha kuwa hawawezi kufanikiwa nje ya WALIPO na WANACHOFANYA kwa sasa.
Sio kweli: Unaweza kufanikiwa tena hata kwa ZAIDI katika Kitu kingine tofauti na unachofanya sasa, usiogope KUBADILISHA.

Leo anza siku yako kwa kujivika UJASIRI na kufanya UAMUZI kuwa HAUTARUHUSU HOFU ikushinde. Kumbuka una uwezo Mkubwa ndani yako KUSHINDA Hofu inayokukabili, USISUBIRI hadi siku iende sana: ISHINDE HOFU MAPEMA LEO kwa KUCHUA HATUA bila KUCHELEWA. Nasubiria habari njema kutoka kwako.

Anza siku yako kwa FURAHA na KUJIAMINI, uishinde Hofu.

Nanauka
Ahsante sana kwa shule hii yenye ukweli.
Hofu ya mabadiliko ndio inatufanya waajiriwa tunastaafu tukiwa masikini.
Mtu anaogopa akibadili kazi huko mbele kazi mpya ataikutaje.
Mtu ana hofu anaona akifungua biashara ya jioni baada ya kazi kuuza chips pamoja na kuuza soda mtaji utakufa atapata hasara na jamii itamuona ni mtu wa chini vile ni msomi.
Hofu ya mabadiliko inawakumba zaidi wasomi wa kuanzia shahada wasomi wanaogopa kitu inaitwa risk taking na ndio maana wanakufa masikini.
Nimeshaona prof mmoja alistaafu akawa anakaa guest vile alitegemea hela za mafao atajengea nyumba kaijenga kapaua hakuwa na mradi wowote wa kumuingizia kipato matokeo kafa kwa stroke.
Vile vitu tunavyodharau ni petty business ndio vinavyolipa.
 
Ahsante sana kwa shule hii yenye ukweli.
Hofu ya mabadiliko ndio inatufanya waajiriwa tunastaafu tukiwa masikini.
Mtu anaogopa akibadili kazi huko mbele kazi mpya ataikutaje.
Mtu ana hofu anaona akifungua biashara ya jioni baada ya kazi kuuza chips pamoja na kuuza soda mtaji utakufa atapata hasara na jamii itamuona ni mtu wa chini vile ni msomi.
Hofu ya mabadiliko inawakumba zaidi wasomi wa kuanzia shahada wasomi wanaogopa kitu inaitwa risk taking na ndio maana wanakufa masikini.
Nimeshaona prof mmoja alistaafu akawa anakaa guest vile alitegemea hela za mafao atajengea nyumba kaijenga kapaua hakuwa na mradi wowote wa kumuingizia kipato matokeo kafa kwa stroke.
Vile vitu tunavyodharau ni petty business ndio vinavyolipa.
Sawa mzee meko
 
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na fanya kitu).

Kuna Hofu kubwa mbili zitakufuata kila siku unapoamka asubuhi:

1) Hofu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo yajayo *(The Fear of Uncertainty).*

Hofu hii inawafanya watu washindwe kuchukua hatua kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wa watakachokifanyaWanajiuliza-Nikiongea naye akikataa je, nikienda wasiponikubali, Vipi nisipopata matokeo ninayotarajia? Kwa sababu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo mtu anajaa Hofu na anajikuta akiwa katika *“Freezing state”-* Hachukui hatua yoyote ile. Kumbuka UKIOGOPA KUFANYA kwa sababu hauna UHAKIKA utabakia ulivyo, AMUA Kufanya na uwe tayari kukabiliana na MATOKEO yatakayojitokeza.Mabaya mengi unayohofia kuwa yatatokea huwa mara nyingi hayatokei, USIHITIMISHE kabla HAUJAFANYA.

2) Hofu ya Mabadiliko *(Fear of Change)*

Hofu hii inatokana na mtu kutokuwa tayari kubadilisha kile alichokizoea. Watu wengi huwa wanaona hakuna maisha mengine nje ya walichonacho kwa sasa.
Wanaona wakipoteza kazi ya sasa kama watakufa, wakipoteza mtu fulani kama ndio mwisho wa dunia, wakibadilishwa cheo wanahisi kama pumzi itakata n.k wamejiaminisha kuwa hawawezi kufanikiwa nje ya WALIPO na WANACHOFANYA kwa sasa.
Sio kweli: Unaweza kufanikiwa tena hata kwa ZAIDI katika Kitu kingine tofauti na unachofanya sasa, usiogope KUBADILISHA.

Leo anza siku yako kwa kujivika UJASIRI na kufanya UAMUZI kuwa HAUTARUHUSU HOFU ikushinde. Kumbuka una uwezo Mkubwa ndani yako KUSHINDA Hofu inayokukabili, USISUBIRI hadi siku iende sana: ISHINDE HOFU MAPEMA LEO kwa KUCHUA HATUA bila KUCHELEWA. Nasubiria habari njema kutoka kwako.

Anza siku yako kwa FURAHA na KUJIAMINI, uishinde Hofu.

Nanauka
Maelezo yako yanfariji sana na kutia moyo kwa waliokata tamaa,big up
 
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na fanya kitu).

Kuna Hofu kubwa mbili zitakufuata kila siku unapoamka asubuhi:

1) Hofu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo yajayo *(The Fear of Uncertainty).*

Hofu hii inawafanya watu washindwe kuchukua hatua kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wa watakachokifanyaWanajiuliza-Nikiongea naye akikataa je, nikienda wasiponikubali, Vipi nisipopata matokeo ninayotarajia? Kwa sababu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo mtu anajaa Hofu na anajikuta akiwa katika *“Freezing state”-* Hachukui hatua yoyote ile. Kumbuka UKIOGOPA KUFANYA kwa sababu hauna UHAKIKA utabakia ulivyo, AMUA Kufanya na uwe tayari kukabiliana na MATOKEO yatakayojitokeza.Mabaya mengi unayohofia kuwa yatatokea huwa mara nyingi hayatokei, USIHITIMISHE kabla HAUJAFANYA.

2) Hofu ya Mabadiliko *(Fear of Change)*

Hofu hii inatokana na mtu kutokuwa tayari kubadilisha kile alichokizoea. Watu wengi huwa wanaona hakuna maisha mengine nje ya walichonacho kwa sasa.
Wanaona wakipoteza kazi ya sasa kama watakufa, wakipoteza mtu fulani kama ndio mwisho wa dunia, wakibadilishwa cheo wanahisi kama pumzi itakata n.k wamejiaminisha kuwa hawawezi kufanikiwa nje ya WALIPO na WANACHOFANYA kwa sasa.
Sio kweli: Unaweza kufanikiwa tena hata kwa ZAIDI katika Kitu kingine tofauti na unachofanya sasa, usiogope KUBADILISHA.

Leo anza siku yako kwa kujivika UJASIRI na kufanya UAMUZI kuwa HAUTARUHUSU HOFU ikushinde. Kumbuka una uwezo Mkubwa ndani yako KUSHINDA Hofu inayokukabili, USISUBIRI hadi siku iende sana: ISHINDE HOFU MAPEMA LEO kwa KUCHUA HATUA bila KUCHELEWA. Nasubiria habari njema kutoka kwako.

Anza siku yako kwa FURAHA na KUJIAMINI, uishinde Hofu.

Nanauka
Hofu ina adhabu mbele za mwenyezi MUNGU
 
Mkuu asante sana nimepata kitu apa nipo kwenye mtanzuko mkubwa sana imefika mahali naogopa fanya maamuzi lakini umenipa neno la faraja wacha nisonge mbele
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na fanya kitu).

Kuna Hofu kubwa mbili zitakufuata kila siku unapoamka asubuhi:

1) Hofu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo yajayo *(The Fear of Uncertainty).*

Hofu hii inawafanya watu washindwe kuchukua hatua kwa sababu hawana uhakika wa matokeo wa watakachokifanyaWanajiuliza-Nikiongea naye akikataa je, nikienda wasiponikubali, Vipi nisipopata matokeo ninayotarajia? Kwa sababu ya kutokuwa na uhakika wa matokeo mtu anajaa Hofu na anajikuta akiwa katika *“Freezing state”-* Hachukui hatua yoyote ile. Kumbuka UKIOGOPA KUFANYA kwa sababu hauna UHAKIKA utabakia ulivyo, AMUA Kufanya na uwe tayari kukabiliana na MATOKEO yatakayojitokeza.Mabaya mengi unayohofia kuwa yatatokea huwa mara nyingi hayatokei, USIHITIMISHE kabla HAUJAFANYA.

2) Hofu ya Mabadiliko *(Fear of Change)*

Hofu hii inatokana na mtu kutokuwa tayari kubadilisha kile alichokizoea. Watu wengi huwa wanaona hakuna maisha mengine nje ya walichonacho kwa sasa.
Wanaona wakipoteza kazi ya sasa kama watakufa, wakipoteza mtu fulani kama ndio mwisho wa dunia, wakibadilishwa cheo wanahisi kama pumzi itakata n.k wamejiaminisha kuwa hawawezi kufanikiwa nje ya WALIPO na WANACHOFANYA kwa sasa.
Sio kweli: Unaweza kufanikiwa tena hata kwa ZAIDI katika Kitu kingine tofauti na unachofanya sasa, usiogope KUBADILISHA.

Leo anza siku yako kwa kujivika UJASIRI na kufanya UAMUZI kuwa HAUTARUHUSU HOFU ikushinde. Kumbuka una uwezo Mkubwa ndani yako KUSHINDA Hofu inayokukabili, USISUBIRI hadi siku iende sana: ISHINDE HOFU MAPEMA LEO kwa KUCHUA HATUA bila KUCHELEWA. Nasubiria habari njema kutoka kwako.

Anza siku yako kwa FURAHA na KUJIAMINI, uishinde Hofu.

Nanauka
 
Back
Top Bottom