Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,900
- 30,235
Key...Hawatajwi ?, Mbona wewe umewataja ?
Kwa taarifa yako kuna mashujaa wa ukweli (unsung heroes) hata wasiofahamika...., Nadhani unajua msemo wa Avumae Papa Baharini.... Kwahio cha maana kila anayejua / anayemfahamu shujaa wake sio vibaya akamtaja, otherwise tutahitaji robo tatu ya historia ikitaja watu (ambayo sio mbaya) ila in summary nadhani matokeo ni muhimu zaidi na kutajana iwe subset
Mrangi,Mpaka tunyooke tumuelewe sykes 😂😂😂
Ova
Naam na mimi nikakukumbusha kwamba avumae Papa Baharini kumbe na wengine wapo..., kwahio huenda wazee wako wana bahati wamepata msemaji wewe (kuna wengine ambao walipigania uhuru hawana msemaje) kwahio huenda hawa wote sio kwamba kwa sababu ya Chuki bali ndio the way of the world Tunaposema Mfalme fulani alishinda vita sio kwamba yeye ndio alipiga maadui wote na kuwamaliza (huenda hata hakugusa jambia wala bunduki)...Key...
Kwangu mimi imesadifu kuwa wazee wangu ndiyo mashujaa wa wote kwa kuwa walipigania uhuru wa Tanganyika.
Hii ndiyo sababu kuu ya mimi kuandika historia yao ambayo haikuwa imehifadhiwa.
Key,Naam na mimi nikakukumbusha kwamba avumae Papa Baharini kumbe na wengine wapo..., kwahio huenda wazee wako wana bahati wamepata msemaji wewe (kuna wengine ambao walipigania uhuru hawana msemaje) kwahio huenda hawa wote sio kwamba kwa sababu ya Chuki bali ndio the way of the world Tunaposema Mfalme fulani alishinda vita sio kwamba yeye ndio alipiga maadui wote na kuwamaliza (huenda hata hakugusa jambia wala bunduki)...
Hivyo basi ni wajibu wa kila mwanahistoria (anayejua jambo ) kuliweka sawa vile alijuavyo kwa ku-balance pande zote bila kuweka chumvi /biassness (sababu huenda hata hizo sinema za Vietnam Wars zingetengenzwa Hanoi na sio Hollywood) huenda zingekuwa na mtizamo tofauti.
Tatizo walilo nalo wengi kwako unaonekana kwamba una biasness katika maandiko yako..., jambo ambalo ni la kusikitisha sababu kama uliweza kuongea na wengi wa wahusika ungekuwa hauko Bias ungeacha rasilimali ya maana sana, Yaani yote uliyokuwa unaambiwa na wazee wako ungeweza kuyachuja na kuuliza huko na kule critically kuhakikisha kwamba haujalishwa matango pori (after all hawa wazee wetu sometimes kwa wajukuu / watoto wao wanaweza pindisha ukweli)
Tunahitaji mashujaa wengi zaidi (ili wawe role models wa watu wetu) sio kwamba tukiongeza wengine wengine watapungua bali tusishushe mashujaa wengine ili tuwakuze wengine wote wana nafasi katika taifa...