Tom Mboya
Tom Mboya aliuawa tarehe July 5 1969
Mimi nilikuwa darasa la sita hapa Dar es salaam na siku hiyo kupitia vyombo vya habari, tukapata habari za kusikitisha Afrika Mashariki kuwa...
Anachojaribu kukifanya huyu msemaji ni kutaka wasiokuwa Wakatoliki waamini kuwa Kanisa Katoliki bado lina nguvu ile ile iliyokuwanayo kabla ya sakata la "Waarabu" na Bandari ya Dar-es-Salaam...
MHESHIMIWA KASSIM AMARI MBARAKA MBUNGE WA TANGA MJINI ATEMBELEA MAKTABA
Mheshimiwa Kassim Makbel Mbunge wa Ngamiani Tanga leo ametembelea Maktaba na kuizawadia kitabu kizuri sana tena cha nyakati...
Watu walionekana kama wana akili na ushawishi wakati Karume ni rais wa Zanzibara waliuliwa na kuuwawa na utawala wa Karume
Mfano ni baba yake na Humud na Kassim Abdula Hanga.
Utawala wa Karume...
Why Paris Drove Horse Cars in 1943
https://www.youtube.com/shorts/cmhtmfU668Q
Imagine walking through the streets of one of the world's most advanced cities, but there isn't a single engine...
Chini ya anga tulivu ya pwani ya Tanzania, safu za mawe yaliyosimamishwa katika Makaburi ya Wataalamu wa China zilipambwa kwa mashada mapya ya maua, huku viongozi, wanadiplomasia, na raia...
Usiku wa jumamosi ya tarehe 19 Mei, 1962, katika ukumbi wa Madison Square Garden, New York, uligeuka kuwa jukwaa la historia ambalo halitokuja kuandikwa vizuri hata kidogo katika siasa na burudani...
SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026
Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi...
Leo katika historia April 7: Undani wa hayati abeid amani karume kuzaliwa mpaka kifo
Bwana Abeid Amani Karume muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa katika kitongoji cha Pongwe, Mudiria ya...
AL JAZEERA WALIPOKUJA KUNIHOJI TANGA NA DAR ES SALAAM
Mahojiano na Al Jazeera nyumbani kwangu Masaki, Dar es Salaam 2007
Mohamed Val Mtangazaji wa Al Jazeera akinihoji nyumbani kwangu Bombo...
Wasalaam wadau wa jukwaa,Naomba kutajiwa majina mazuri ya asili ya Wakinga ili niweze kumpa mtoto. Napenda majina ya kiasili kama njia mojawapo kuenzi utamaduni wetu Thank you in advance for your help
Nimesoma hili andiko la huyu mzungu akimtwisha Nyerere mambo yote mabaya tangu Tanzania inapata uhuru mpaka sasa likanifikirisha sana hasa nikiangalia Marekani inachofanya Cuba na Iran kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.