CHAGGA DAY
TUIKUMBUKE SIKU HII KWA KUREJEA KATIKA MAISHA YA RAJABU IBRAHIM KIRAMA NA BABA YAKE MURO MBOYO KATIKA MIAKA YA 1800
Chagga Day ni siku iliyokuwa ikiadhimishwa kila mwaka ifikapo...
I have before looked into ancient history of Tanzania and Arabic history of Tanzania, but I am very curious to what I can find out from people who are more adept in the subject.
Does anyone know...
Hotuba ya Martin Luther King ya "I have a dream", akitaka usawa kati ya jamii zote nchini Marekani, ni mojawapo ya hotuba za kutia moyo, zenye ushawishi na maarufu nyakati za kisasa. Lakini leo...
Unaposoma Bayographia ya Mwalimu iliyotayarishwa na wanazuoni watatu ukurasa wa 125 hadi 126 kuna simulizi fupi ifuatayo
Mwanzoni mwa miaka ya 80 kulikuwa na tatizo la baadhi ya wamiliki wa...
MACHACHE KUHUSU BABU YANGU SALUM ABDALLAH
Hiyo picha ya Loco Shed Tabora hapo chini ndipo akifanya kazi babu yangu Salum Abdallah maarufu Baba Popo kuanzia 1947 had 1964.
Alihamia Tabora kutoka...
Majina mengi ya wangoni yanafanana na majina ya wanyama. Kwa mfano;
Mapunda ni jina lenye "punda"
Komba ni jina lenye "komba"
Ngonyani ni jina lenye "nyani"
Mapunda ni jina lenye "punda"
Kuna...
Pichani ni aliyekuwa mshauri mkuu wa rais wa Zaire kwa sasa DRC MOBUTU SESESEKO.
Wakati wa Utawala wa Mobutu huyu mzee alikuwa mtu wake wa karibu sana na alikuwa na kazi ya kumpa ushauri ambapo...
MOHAMED SHOMVI MLIMANI TV NA MOHAMED SAID: SIKUKUU ZA KUMBUKUMBU
Leo asubuhi nilialikwa Mlimani TV kwa ajili ya mazungumzo kuhusu sikukuu za kumbukumbu na maadhimisho ya kitaifa.
Mtangazaji...
Wazee wa Dar es Salaam katika Baraza la Wazee wa TANU na Mwalimu Julius Nyerere katika Uchaguzi Mkuu wa 1962.
Masikitiko ni kuwa mashujaa hawa hadi leo nchi haijawatambua isipokuwa Nyerere peke...
Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Radio Tanzania Dar es salaam au kwa kifupi RTD kati ya miaka ya 70, 80 na 90 waliovuma katika Idhaa zake za Kiswahili na Kiingereza. Wakati huo radio...
KITABU KATIKA KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR SEHEMU YA KWANZA
PITIO LA KITABU MIMI, UMMA PARTY NA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MWANDISHI: HASHIL SEIF HASHIL
Kuandika historia ya ukombozi katika...
Kumbukizi Ya Maisha Ya Maalim Seif imeandikwa na Profesa Ibrahim Haroun Lipumba.
SEHEMU YA KWANZA
BURIANI KAKA YANGU MAALIM SEIF SHARIF HAMAD
SEHEMU YA KWANZA: NILIVYOKUTANA NA MAALIM SEIF...
Walinzi wa Rais Mobutu Sese Seko wakiongozwa na ma-bodyguard Colonel Motoko na Major Ngani walivyoweza kumuokoa Mobutu asikamatwe na askari waasi waliokuwa wameuzingira mjini mkuu wa Zaire wa...
Mnamo mwaka 1986 rais wa zaire marechal mobutu sese seko anaamua kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wake binafsi kilichojulikana kama Division Spéciale Présidentielle (special presidential division/...
''TRAGIC COMEDY'' WAKO WATAKAOCHEKA WAKO WATAKAOLIA
Kwa umri wangu huu baada ya kula chakula cha mchana kitanda kinaniita kujipumzisha kidogo.
Lakini kama kawaida kutakuwa na hiki au kile mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.