Ilikuwa mchana wa Novemba 29,1970 ambapo familia moja ambayo ilikuwa na Baba na Binti wawili wenye asili ya Norway walikuwa wakienda kutalii katika Mlima Ulriken upatikanao katika Jiji la Bergen...
SIKU MOJA NA SHEIKH PONDA MAHAKAMANI MOROGORO
Miaka saba iliyopita siku kama ya leo.
Siku nyingi zilikuwa zimepita sijamuona Sheikh Ponda si kwa kuwa alikuwa kifungoni mahabusi bali nilikuwa nje...
Dunia inamfahamu kama Dalai Lama wa 14 kiongozi mkuu wa nchi iitwayo Tibet lakini pia Kiongozi huyu ni kiongozi mashuhuri zaidi wa imani ya kibuddha kama ilivyo Baba Mtakatifu (Papa) kwa wakristo...
🇲🇿 🇲🇿 🇲🇿 💪🏿💪🏿💪🏿❤️
A heroine of Mozambique's freedom struggle, Josina Machel fought for women's rights and encouraged other women to join the war. She died at 25 without seeing her dream of an...
Thomas Fuller, an African sold into slavery in 1724 at the age of 14, was sometimes known as the “Virginia Calculator” for his extraordinary ability to solve complex math problems in his head...
Kupanda kilele cha Mlima Kilimanjaro
Nyirenda ni mtu pekee ambaye kamwe hawezi kuachwa katika historia ya aina yoyote juu ya uhuru wa Tanganyika.
Ni yeye aliyepandisha mwenge wa uhuru na...
OFISI YA PETER COLMORE NA ALLY SYKES DAR ES SALAAM 1960s
Kuandika historia ya wafanyabiashara hawa wawili Ally Sykes na Peter Colmore unahitaji kutoa kitabu kizima.
Mimi nimewajua baba zangu...
Did you know?
Towns called Amuzu in Igbo land arose from ancient settlements of blacksmiths
Awka clan is prominently known for their smithing prowess but they were not the only clan that...
Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, Rashid Kitambulio anaweza kuwa mmoja wa vigogo wa Serikali aliyefunga mwaka 2021 vibaya kwa kusota mahabusu kwa siku 7...
Today the world’s richest person is Jeff Bezos, the CEO of Amazon.com. His net worth is reportedly $160 billion. However, his wealth is less than half of the richest person in history. That title...
Sikiliza mzee wa nondo alivyokuwa akizimwaga mbele kujibu mashambulizi kutoka pande nne. Ikumbukwe kuwa Eleanor Roosevelkt ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya umoja wa mataifa iliyodraft na...
Sometime over the course of the night and the early morning of December 29-30, 1916, Grigory Efimovich Rasputin, a self-proclaimed holy man, is murdered by Russian nobles eager to end his...
MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA1961: RASHID MFAUME KAWAWA, KENNETH DAVID KAUNDA NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE NDANI YA NYARAKA ZA SYKES
Nimekutana na picha hiyo hapo chini kushoto Rashid Mfaume...
Hello everyone,
currently I am writing a thesis about the german colonial ruler Herrmann von Wissmann who was active in "German-East-Africa" from 1988-1996. In the thesis I am approaching to...
Alizaliwa Vienna Austria na alikuja kuwa Malkia wa Ufaransa. Watu walipokusanyika kwa Mfalme kulalamika maisha ni magumu hawana hata mkate wa kula (mkate ni chakula kikuu sehemu nyingi za dunia)...
Chimamanda Ngozi Adichie was born in Enugu, Nigeria in 1977. She grew up on the campus of the University of Nigeria, Nsukka, where her father was a Professor and her mother was the first female...
Kwa kweli hichi kipindi kimekua ni cha kuvutia sana tokea nilipoanza kukifuatilia, ndugu Ismail Jussa amekua akichambua vitabu mbali mbali vya kisiasa, kuna mengi ya kujifunza ndani yake...
Gate of All Nations also known as Gate of Xerses at Persepolis, Iran 486-465 BC
Haya mawe yamesimama bila nguzo ya chuma, utaalamu wa kuunganisha mawe namna hii haupo tena. Vifaa walivyotumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.