Jukwaa la Historia

On JF:

Tarehe 05 mwezi Februari mwaka 1997 ilikuwa siku muhimu yenye matukio ya kufurahisha na kuhuzunisha. Kabla haujayapitia hayo matukio matatu, Kumbuka siku hii chama cha TANU na ASP viliungana na...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
KUMBUKUMBU KUTOKA KIJIJI CHA DAVID LIVINGSTONE BLANTYRE, GLASGOW SCOTLAND 1991 Hayo niliyoandika hapo chini nimemwandikia rafiki yangu Dr. Harith Ghassany mwandishi wa kitabu maarufu, ''Kwaheri...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapo chini ni picha za baadhi ya mitaa iliyopewa majina ya wapigania uhuru wa Tanganyika: Katika picha hizi picha ya kwanza inamuonyesha Ali Msham wa kwanza kulia akiwa na Baba Taifa Mwalimu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukisikia mauaji ya Halaiki(genocide) akili inakimbilia RWANDA, SOWETO na HOLOCUST(waisrael walivyouliwa na WANAZI). Leo nakupa Mauaji yaliyosahaulika lkn nayo sio mchezo. 01: WAJERUMANI...
12 Reactions
38 Replies
10K Views
Shariff Abdalla Attas (Picha kwa hisani ya Bwana Shomari) Sie wengine tumekuja kumjua Shariff Abdallah Attas katika utu uzima wake akikaa Mtaa wa Twiga na Sikukuu nyumba yake mkabala na Msikiti...
22 Reactions
218 Replies
34K Views
Chief Michael Lukumbuzya wa Ukerewe Nilikuwa naitafuta picha ya hayati Chief Michael Lukumbuzya kwa miaka mingi bila mafanikio. Sababu ya kuitafuta picha ya Chief Lukumbuzya ni kisa...
26 Reactions
713 Replies
91K Views
KWA NINI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE HAKUNYANYUA KALAMU KUANDIKA MAISHA YAKE? Naikumbuka siku hii kama jana vile. Niko nje ya mipaka ya Tanzania ni nyakati za usiku niko kwa...
11 Reactions
82 Replies
9K Views
Habari wanaJF, Naangalia Tanzania Safari Channel, msimulizi anasemaje Wandali na Wanyakyusa walitokea Kongo. Walipita Morogoro na milima ya Livingstone mpaka Rungwe, wajuzi wa historia hii...
2 Reactions
29 Replies
11K Views
MOHAMED SHEBE CAMERA YAKE NDIYO ILIYOTUHIFADHIA HISTORIA YA TANU, MWALIMU NYERERE NA UHURU WA TANGANYIKA Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
WAZULU WA IMHAMBANE, MOZAMBIQUE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kisa hiki nimekitoa hapa hapa barzani nikizungumza na ndugu yangu Abdulkarim. "Abdulkarim, jina hasa ni Saudtz Thomas...
8 Reactions
54 Replies
5K Views
MTO KONGO Afrika ni moja kati ya mabara ambalo limebarikiwa sana kuwa na vivutio vya aina mbalimbali. Moja kati ya vivutio hivyo ni Mto Kongo. Mto Kongo ni mto wa pili kwa urefu barani Afrika...
23 Reactions
127 Replies
35K Views
THE PIONEER OF THE EAST AFRICAN SOUND Franz Yosef Humplick 1927 2007 Frank Humplick with his guitar at his residence in Lushoto 2005 Frank Humplink in His Hey Days in Nairobi Very few people...
10 Reactions
45 Replies
17K Views
KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR KIPO TAYARI Rafiki yangu mmoja katika uongozi wa juu Zanzibar na aliyeshuhudia yote yaliyotokea kabla na baada ya mapinduzi alipata kuniambia kuwa ili kuielewa...
2 Reactions
10 Replies
45K Views
WASWAHILI KATIKA KUPINGA UKOLONI BURUNDI Historia ya Sheikh Hassan bin Ameir na Waislam wa Burundi inashangaza. Hakuna Sheikh katika Afrika ya Mashariki aliyeweza kuingia Belgian Congo, Rwanda...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku kama ya leo mwaka 1971, jitu la Miraba minne Idd Amin alijitangaza kuwa Rais wa nchi ya Uganda na hii ni baada ya kugutuka kwamba Milton Obote alikuwa akipanga kumkamata kwa matumizi mabaya...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
MJUE FREDERICK DE KLERK 1936-2021 Mkombozi wa Afrika Kusini Najua wajua lakini acha wanaojua kidogo wajue zaidi. Ninataka umjue rafiki wa Waafrika weusi kwenye kundi la weupe wachache, watawala...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
IFAHAMU HISTORIA YA ZIWA NYASA Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ikiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza...
7 Reactions
17 Replies
66K Views
Wakati huo kuvuta cigar ilikua ni kitendo cha kawaida hasa kwa viongozi. Churchill anatoa cigar kwenye kifuko cha ngozi. Lugha ya picha inaonyesha wote ni wenye furaha na hakuna wasiwasi.
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Kanisa hili lilijengwa na wamissionari wa kanisa la Anglikana katika barabara ya Mkunazini mwaka 1903. Uwanja uliojengewa kanisa ndipo shughuli nyingi za uuzaji wa watumwa zilipofanyika. Kujengwa...
9 Reactions
21 Replies
5K Views
LAITI WATU HAWA WANGEANDIKA KUMBUKUMBU ZAO Wengine tayari wameshatangulia mbele ya haki miaka mingi na wengine hivi karibuni na wengine bado wanaishi na nawaombe dua Allah awape umri mrefu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom