Uchaguzi huo ulifanyika nchini Liberia mwaka 1927. Ilikuwa ni uchaguzi wa raisi na mshindi akawa Charles D.B. King wa chama cha True whig ambapo alichaguliwa kwa kipindi cha tatu. Alimshinda...
Aboud Nadhif Abdallah, arrested and disappeared since 1969 The weekly Dira, in its issue of July 18–24, 2003, published an article on the demands for compensationmade by Ibrahim Aboud Nadhif...
Binadamu anapokata tamaa ya kupata Haki, Kisa cha Anerigo Bonasera na Don Veto Corleone. Mfano wa Sheikh Ponda.
Katika kitabu cha "The Godfather," kuna watu wawili muhimu katika kueleza nini...
Hakuna kitu hunipa furaha kama niandikapo historia ya mtu kisha akatokea msomaji akaniandikia kuniambia huyo uliyemtaja ni babu au bibi yangu.
Hivi karibuni niliandikiwa na Adam Ahmed kuhusu...
CROSSING THE RUBICON
Julius Caesar alivuka Mto Rubicon mwezi Januari 49 BC akiwa na jeshi kubwa nyuma yake na baada ya mguu wake kukanyaga upande wa pili wa mto vita ya wenyewe kwa wenyewe baina...
Saa 7 kamili mchana, siku ya jumapili ya tarehe 1.11.1987, Watanzania, kila pembe ya nchi, walipigwa butwaa na kushikwa na bumbuwazi kubwa baada ya Radio Tanzania Dar Es Salaam kutangaza, katika...
Baada ya kugundulika mwili wa Pharaoh Ramesses 2 katika makabuli ya wafalme (Valley of Kings) huko Misri Rais wa Ufaransa Valéry Giscard d'Estaing katika miaka ya 1980 alifanikiwa kuishauri...
NYUMBA YA MWALIMU NYERERE MAGOMENI MADUKA SITA 1955
Rafiki yangu kanipatia picha ya nyumba aliyokaa Mwalimu Nyerere Magomeni Maduka Sita.
Mwalimu Nyerere anaonekana nje ya nyumba yake akiingia...
Habarini Wakuu
Katika kukaa kwangu na kutafakari katika muonekano na katika biblia tunasoma siku ya sabato yapaswa kufuatwa sawa lkn nina mtazamo chanya ambao wasabato wanaupuuzia siku hizi na...
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la...
MAANDIKO kadhaa yamekuwepo kuhusiana na historia ya Wahehe na hasa ukoo wa Mtwa Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga, maarufu kama Mkwawa, lakini yote hayo hayakunizuia kuisaka historia hiyo.
‘Jicho...
Unaweza kushangaa kwanini nimeileta hoja hii upande wa jukwaa la HISTORIA, wakati ni jambo lililozungumzwa ktk mkutano wa kampeni za uchaguzi.
Kati ya mwaka 1964 na 71,Khassim Hanga, Idris...
leo nimeingia wikipedia na kusoma juu ya historia ya koloni la ujerumani ya afrika mashariki (deustche ostafrika) /(german east africa).
katika kusoma huko kilichonifurahisha ni kuona majina ya...
Katika kumbukumbu za ukoloni, sifa kubwa ya Hispania ilikuwa ujenzi. Walibuni na kujenga majengo ya kupendeza kama vile sifa ya Uingereza ilivyokuwa katika utawala bora.
Katika Afrika, Hispania...
SPUTNIK-1 SATELLITE YA KWANZA DUNIANI
Na Thabit Karim Muqbell
Sputnik-1, Rus: Спутник-1, Eng: Satellite-1.
Mwaka 1957 Historia ya teknolojia ilibadilika na dunia ilisimama pale USSR...
Magufuli kaminya upinzani mpaka unapotea kweli 😢😢
Imagine HAKUNA mbunge wa CCM aliyewahi kusumbuliwa na police, ila wangapi viongozi wa upinzani wamekuwa harassed na police?
Mnajua effect yake...
WAMAREKANI LEO WAKIKUMBUKA MKASA WA JAMES MEREDITH WANATINGISHA KICHWA NASI TUTATINGISHA TUTAKAPOKUMBUKA NEC/ZEC NA WIZI WA KURA
Mississipi ni Kusini na Kusini ndiko kulikoshamiri utumwa wa mtu...
FAHAMU HESHIMA NA HADHI YA SHEIKH PONDA KATIKA NYOYO ZA WAISLAM
''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa.
Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.