Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 364
- 645
SPUTNIK-1 SATELLITE YA KWANZA DUNIANI
Na Thabit Karim Muqbell
Sputnik-1, Rus: Спутник-1, Eng: Satellite-1.
Mwaka 1957 Historia ya teknolojia ilibadilika na dunia ilisimama pale USSR walipofanikiwa kurusha satellite ya kwanza na ya aina yake katika anga za kati za juu. Sputnik-1 ilikua ni satellite ya majaribio ktk teknolojia ya satellite ulimwenguni lakini lengo kubwa lilikua ni USSR kuionesha USA namna USSR ilivyokua haishikiki ktk mambo kadhaa ya teknolijia duniani.
Mnamo 4/10/1957 Katika kituo cha kurushia Marocket ya masafa marefu Baikonour Cosmodrome, USSR wanasayansi kadhaa akiwemo Mkuu wa kitengo cha Anga na Chief designer wa Makombora ya masafa marefu Sergei Korolev walifanikiwa kurusha Satellite hii na kuishtua dunia. Sputnik-1 ilikua satellite ya mviringo ikiwa na redio moja yenye betri tatu ndani iliyokua ikitoa signal duniani.
Malengo ya Sputnik-1 yalikua ni kuionesha USA na Dunia kwa ujumla namna ambavyo USSR walivyo na uwezo wa Kiteknolojia, Pia kuanza kufanya tafiti juu ya umuhimu wa satellite hasa katika maswala ya upepelezi na mawasiliano. Sputnik 1 ilipokua angani kila mtu katika ardhi ya Dunia alikua na uwezo wa kuiona kwa Telescope na kusikia ikitoa mlio wa 'beep beep' kwa kifaa cha short wave receiver. January 1958 Sputnik-1 iliungua na kuisha kutokana na joto lilikua juu ya uso wa Dunia na kuwa ndio mwisho wa Sputnik-1.
Sputnik-1 ina mchango mkubwa sana katika teknolojia ya satellite ambayo bila teknolojia hii pengine Dunia isingekua hapa ilipo. Bila satellite, kusingekua na Internet, Live coverage, Weathering, Upelelezi, Communications na mengineyo. Hakika Sputnik 1 haitokuja kusahaulika na Wanadamu ulimwenguni kote.
Na Thabit Karim Muqbell
Sputnik-1, Rus: Спутник-1, Eng: Satellite-1.
Mwaka 1957 Historia ya teknolojia ilibadilika na dunia ilisimama pale USSR walipofanikiwa kurusha satellite ya kwanza na ya aina yake katika anga za kati za juu. Sputnik-1 ilikua ni satellite ya majaribio ktk teknolojia ya satellite ulimwenguni lakini lengo kubwa lilikua ni USSR kuionesha USA namna USSR ilivyokua haishikiki ktk mambo kadhaa ya teknolijia duniani.
Mnamo 4/10/1957 Katika kituo cha kurushia Marocket ya masafa marefu Baikonour Cosmodrome, USSR wanasayansi kadhaa akiwemo Mkuu wa kitengo cha Anga na Chief designer wa Makombora ya masafa marefu Sergei Korolev walifanikiwa kurusha Satellite hii na kuishtua dunia. Sputnik-1 ilikua satellite ya mviringo ikiwa na redio moja yenye betri tatu ndani iliyokua ikitoa signal duniani.
Malengo ya Sputnik-1 yalikua ni kuionesha USA na Dunia kwa ujumla namna ambavyo USSR walivyo na uwezo wa Kiteknolojia, Pia kuanza kufanya tafiti juu ya umuhimu wa satellite hasa katika maswala ya upepelezi na mawasiliano. Sputnik 1 ilipokua angani kila mtu katika ardhi ya Dunia alikua na uwezo wa kuiona kwa Telescope na kusikia ikitoa mlio wa 'beep beep' kwa kifaa cha short wave receiver. January 1958 Sputnik-1 iliungua na kuisha kutokana na joto lilikua juu ya uso wa Dunia na kuwa ndio mwisho wa Sputnik-1.
Sputnik-1 ina mchango mkubwa sana katika teknolojia ya satellite ambayo bila teknolojia hii pengine Dunia isingekua hapa ilipo. Bila satellite, kusingekua na Internet, Live coverage, Weathering, Upelelezi, Communications na mengineyo. Hakika Sputnik 1 haitokuja kusahaulika na Wanadamu ulimwenguni kote.