AHMED MOHAMED JOHARI (MNUBI) YANGA WALIMKATISHA MASOMO SEKONDARI ACHEZE MPIRA
Picha hiyo hapo chini inatoka kwa Sunday "Computer'' Manara na yeye kaipata kwa kaka yake Kitwana ''Popat'' Manara...
HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI KWENYE
UFUNGUZI WA MKUTANO MAALUM WA MAJADILIANO
KATI YA CHAMA...
ABDALLAH SAID KASSONGO NA PAFMECA 1958 SIKU KWA MARA YA KWANZA ''TANU YAJENGA NCHI ULIPOIMBWA''
Watu wengi wamekuwa wakinirushia barua ya mkutano wa PAFMECA Moshi mwaka wa 1959.
Imekuwa jambo la...
MKUTANO WA PAFMECA MOSHI 1959
Kanirushia ndugu yangu barua hii ya PAFMECA nami nimeiweka hapa sote tufaidi.
Naweka hapo chini kipande kidogo kuhusu PAFMECA kutoka kitabu cha Abdul Sykes:
Pan...
Cleopatra alikwea umalkia au kiti cha enzi akiwa na umri wa miaka 17 na alikufa akiwa na umri wa miaka 39. Alizungumza lugha 9. Alijua lugha ya Misri ya Kale na alijifunza kusoma maandishi ya kale...
TAAZIA: OMARI MWARIKO AMEFARIKI
Nimepokea taarifa ya Omari Mwariko.
Si wengi watakuwa wanamfahamu katika miaka hii lakini Mwariko alikuwa bingwa wa kuchonga vinyago na katika uhai wake katika...
OMARI MWARIKO NANI ANAMFAHAMU?
Huyo hapo chini aliyevaa kofia ni Omari Mwariko.
Nimemfahamu Omari Mwariko nakua na nasoma shule ya msingi Moshi katika miaka ya 1960.
Miaka hiyo Omari Mwariko...
UGIRIKI, FALME YA MACEDONIA, UYUNANI; MAMA NA KITOVU WA NCHI ZA ULAYA, ILIYOKUWA DOLA-HIMAYA YA NNE YA DUNIA (4th WORLD HEGEMONY)
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Wednesday-14/12/2022
Olasiti...
BOCCA DELLA VERITA:
Inaitwa MOUTH OF TRUTH
Ipo na inakaa nje ya mlango wa Santa Maria katika Kanisa la Cosmedin Rome Italia
Ni sanamu kubwa iliyo katika hadithi nyingi, inafanana na uso...
Thomas Sankara na Blaise Compaoré, wote walikua pamoja nyumbani kwetu. Baba yangu aliwatunza wote wawili na walikuwa zaidi ya ndugu. Baba yangu aliwapeleka wote wawili kwa jeshi la taifa na...
Je wajua ni kata ambapo ziko mbili yani Marangu Mashariki na Marangu Magharibi kila moja yenye vijiji na vitongoji vyake ambapo imezungukwa na Kata za Mamba kwa upande wa Magharibi na Kusini na...
Brothel candles were candles which burned precisely for 7 minutes and were heavily used during Victorian times. The customer paid the fee, lit the candle, and when the candle burned out, his...
KISA CHA ''MAGAIDI'' WAWILI: SHEIKH RAMADHANI RAJAB CHAMBUSO NA SHEIKH AHMADA KIDEGE
''Akauliza muulizaji katika kuwahoji kwa shutuma za ugaidi ni nani anawalipa kwa kazi hiyo ya kusomesha...
Kuna kisa kimoja cha Ahmed Chalabi, nadhani mnamkumbuka sana huyu bwana, alikuwa mpinzani mkubwa sana wa Saddam Hussein
Kwanza tumfahamu huyu mtu hatari kuwahi kutokea kwenye siasa na ujasusi...
Kuna huyu Mngazija mmoja mwenye akili sana aliyeitwa Selim bin Abakari. Wakati Wajerumani ndiyo wanaanza kutawala Tanganyika huyu Selim Alikuwa akifahamu kijerumani, hivyo akaajiriwa na afisa...
Katika jiji la Agra nchini India,kwenye kingo za mashariki za mto Yamuna limesimama jengo mashuhuri kuliko yote nchini India,TAJ MAHAL. TAJ MAHAL iliamriwa kujengwa mwaka 1632 na mtawala wa tano...
UBISHI MKUBWA: DUKA LA MAFUTA YA TAA LA MAMA MARIA LILIUZA MAFUTA YA TAA AU MAFUTA YA TAA NA COCA-COLA?
Pamekuwa na ubishi mkubwa kuhusu duka la mafuta ya taa la Mama Maria Nyerere katika moja ya...
MBARAKA MWINSHEHE MWARUKA: SOLOIST INTERNATIONAL
Katika miaka ya 1980 nilitaka kuandika maisha ya Mbaraka Mwinshehe.
Nilianza utafiti kwa kufanya mazungumzo na jamaa wa Morogoro ambao waliishi...