habari zenu wakuu
ni imani yangu kuwa mko poa
nimekutana na posts za scholarship za hiki chuo kwa jina la Parul University cha huko india
naomba kuuliza kwa wadau wa elimu kama kipo vizur na je...
Salaam!
Katika kutafuta maisha Kuna kipindi unaamua kujitoa kinaga ubaga kutafuta maisha mbali na nchi yetu ya Tanzania Sasa unafikiria utaanzaje kutoka kwenda huko unaamua kujifunza njia za...
Wana JF habari za Weekend?
Naomba kufaham orodha ya vyuo vya Ulaya, Marekani, Asia etc. vinavyotoa online masters courses hasa kwenye masuala ya social science na kozi zingine za management. Vyuo...
The University Grants Commission, the apex body for higher education, on Wednesday published a list of fake universities in the country for the benefit of students.
A total of 21 universities...
Kilicho andikwa hapa Kina ukweli WA asilimia mia.
Anasema " What could be a better prank than making people study for 20 years then never giving them jobs"?
Haya Sasa twende Kazi , kimbia...
Shule zimefunguliwa takribani siku Nne Hadi Sasa na kwa uhakika wanafunzi wa Kidato Cha kwanza Wana miminika mashuleni.
Uhakika uliopo ni kuwa wote wanakuja kuanza mtaala ulioboresha (alimaarufu...
Hello Looking for teachers for Pre and Primary English medium school
Requirements
1. Teaching experience with a minimum of 3 years in PRIVATE primary or Secondary schools
2. Diploma or degree...
Mkuu Twende Wote Hapa😁
If you're preparing for a teaching interview, you're about to embark on an important journey that can shape your career. Whether you're new to teaching or an experienced...
MEMBER OF PARLIAMENT CV
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Adam
Middle Name:
Kighoma Ali
Last Name:
Malima
Member Type:
Constituency Member
Constituent...
System ya elimu ya hapa Tz inafanana karibu vyote Tanzania
Lecturers wengi wa vyuo vya Tanzania ni wahitimu UDSM
Walimu wengi hawaandai notes zao, wanatumia notes za mitandaoni kufundishia...
Haya ndugu zangu kama kawaida yangu ikitokea fursa nawatonya.
Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki.
Application ni simple sana just visit website Yao, na...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu hiyo mada hapo juu.
Mimi sio mtaalam wa computer. Nipo field tofauti.
Dogo yupo advance anataka kujikita katika ishu za computer huko mbeleni at the university...
Wakuu habari,hivi ni vyuo vikuu gani vizuri Kwa kozi ya pharmacy ngazi ya degree nchini Uganda nataka nimpeleke ndugu yangu akasome huko Uganda msaada wakubwa
Habari Wana JF, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu. Naomba taarifa kwa wanaofahamu short course yoyote ambayo ni related na maswala ya fire fighting. Natanguliza ahukrani
Naitwa Google Diggers. Nina miaka 31
Nina degree ya Sanaa yaani bachelor of arts na nina stashahada ya masuala hayahaya ya Sanaa. Kifupi ni Political sciences.
Nataka kufanya post graduate ya IT...
Habari wakuu
Je, Power of Attorney inaweza mpa mtu mamlaka ya kunichukulia cheti chuo maana clearance nimemaliza na vyeti bado havijatoka, natarajia kusafiri kwenda Marekani keshokutwa. Nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.